
acha waseme - otile brown lyrics
kama riziki unatoa, basi ntakosa
ila kama ni mola lazima ntapata×2
bwana shetani muongo , muongo we!
mbona umejawa na kinyongo ndugu we!×2
bwana niambie x3 wapi nilipokuudhi naomba uniambie
mana sio sawa kama we wanichukia , nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio yangu , wakati mimi nakuombea mema , waniwazia mbaya ooh sio sawa
ooh so sawa
ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waonge ×2
wewe unanichukuia ata zaidi unavojipenda
unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
chochote nachofanya unanielewa makosa
lolote nachofanya unanihuk*mu vibaya
wapi nilipokukosea ningependa unieleze
wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
maana sio sawa kama wewe wanichukia , nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
wakati mimi nakuombea meme , waniwazia mabaya ooh so sawa
ooh dhamira yangu , ndo nguzo yangu
ooh wema w*ngu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waongee×4
Random Song Lyrics :
- stop me - michael autumn lyrics
- а я её - jah khalib lyrics
- i don't mean a thing - owen campbell lyrics
- 16 bars me - ag deefox lyrics
- halloween 1963 - more than conquerors lyrics
- queen b - corey yanks lyrics
- light wells - potmos hetoimos lyrics
- bellevue - stereo luchs lyrics
- tipo líder - arma xiss lyrics
- forever found (unplugged) - victory worship lyrics