
umenipendea nini - otile brown lyrics
[verse 1: otile brown]
yeah
tahitaji zaidi ya maneno kushawishi moyo
yalivyo nitenda mapenzi
kuyakurupukia tena siwezi
kidogo initoe uhai, usione nakuringia
nayaogopa mapenzi
[pre*chorus 1: otile brown]
mapenzi hayajakamilika
mapenzi ni maridhiano, imani na nia
mapenzi ni mawasiliano
nami na maswali mengi kwako, kilicho kutenganisha na ex wako
usiseme unanipenda na haujamaanisha
[chorus: otile brown]
hivi, umenipendea nini?
sema umenipendea nini?
sema basi umenipendea nini?
sema umenipendea nini?
ihaji made it
[verse 2: barakah the prince]
ah
na sio sina mapenzi, ila mapenzi yalinitia kiburi
yalicho nitenda enzi, hizo
maana wengi niliwapa mapenzi
baada ya penzi, nikavuna uadui
naogopa mwisho vilio
[pre*chorus 2: baraka the prince]
mapenzi hayajakamilika
mapenzi ni maridhiano (ni maridhiano)
imani na nia
mapenzi ni mawasiliano
ila mi na maswali mengi kwako, kilicho kutenganisha na ex wako
na kama wanipenda na haujamaanisha
[post*chorus: barakah the prince]
hivi, umenipendea nini?
sema umenipendea nini?
sema basi umenipendea nini?
oh, loh
niambie umenipendea nini?
nini umenipendea?
Random Song Lyrics :
- pendiente - florer lyrics
- beecup - manuka humbumble lyrics
- stop the car - nikita snow lyrics
- widebody - plabon carter lyrics
- mary jane (static edition) - lyhts lyrics
- call me back - tbd (compilation albums) lyrics
- nemesis - skeletoon lyrics
- ginger me - lucky.boy lyrics
- global - chata lyrics
- no one - the sullied lyrics