
mawazo - phellic & sugz lyrics
[intro: sugz]
yeah
[verse 1: sugz]
ulisema ukaniahidi
utanipenda utanthamini
ukanitenda ukankatiri, mieeehh
milega hum tumse ki mahaba
hakika yalishamiri mapenzi mahaba
heeh, milega hum tumse ki mahaba
hakika yalishamiri mapenzi mahaba
[pre*chorus: sugz]
nafikiria nafikiri
nikikuomba msamaha, utakubali
nafikiria nafikiri
nikikuomba msamaha, utakubali ehhh
[chorus: sugz]
mawazo, ohwooh*wowooh*wowooh
mawazo, aya yahya yayah
mawazo, ohwooh*wowooh*wowooh
mawazo
[verse 2: ph*llic]
ulitambua ukasema
kwamba wewe wanipenda
yale yote tulopitia
k*mbe yalikuwa bandia
ungesema toka mapema
kila kitu ungeniambia
kwamba wewe ushapata
mwingine wa kufaa
[chorus: ph*llic]
mawazo, wewe umeniachia (wewe umeniachia)
mawazo, moyo w*ngu unauma (moyo w*ngu unauma)
mawazo, wewe umeniachia (wewe umeniachia)
mawazo, moyo w*ngu unauma (moyo w*ngu unauma)
[pre*chorus: ph*llic]
nafikiria nafikiri
nikikuomba msamaha, utakubali
nafikiria nafikiri
nikikuomba msamaha, utakubali
[chorus: both, ph*llic]
mawazo, wewe umeniachia
mawazo, moyo w*ngu unauma
Random Song Lyrics :
- pour ma part - m4vss lyrics
- getting out of dreamland - silver reeds lyrics
- alma enamorada - fuerza regida lyrics
- whiskey river - johnny carroll lyrics
- welcome to kerr hall intro - young hav lyrics
- al amanecer - flou lyrics
- todo un hit - area-7 lyrics
- expectativas - akashi.san lyrics
- poszttraumás szesz - bizottság lyrics
- samo s tobom oko moje - maja marijana lyrics