
nyundo - pillars of faith lyrics
nilikua kwenye halaiki yesu alipokufa.
nikamuona alivyonililia, mwokozi w-ngu
nikaliona taji la miba, na vijito vya damu yake.
huyu ndiye tabibu wetu, sasa mmemfanyia nini
nikajitosa miguuni na kwa hasira nikaita.
ni nani kamtundika hapo juu, mtoto wa amani?
ni nani kamtundika hapo juu? jitokeze unikabili
ni nani kamtundika hapo juu? na halaiki ikanichekelea nikageuga nikaiona nyundo mkononi mw-ngu
mimi mwanajeshi wa kirumi, mtu wa kawaida.
nina mpenzi na watoto w-ngu. najikaza tu
ni vipi ningemuua yesu? kweli kuna mtu mwingine. siwezi beba hizo lawama. kuna kuchanganyikiwa hapa
siwezi kuwa mshukiwa. ni lazima mniambie
ni mimi niliyemtundika juu, mtoto wa amani
ni mimi niliyemtundika juu. ndimi mshukiwa mkuu. ni mimi niliyemtundika juu kwa dhambi hata na maasi yangu. mwenye imani ninapoasi nampiga nyundo tena (2)
Random Song Lyrics :
- każdy dzień - emucehaa lyrics
- 小龍女 (little dragon girl) - stephanie cheng 鄭融 lyrics
- vitamina - ill quentin lyrics
- dicitencello vuje - beniamino gigli lyrics
- demons - dear jack lyrics
- i can't explain - fanum lyrics
- 40 bars - winne lyrics
- irene - timeless truth lyrics
- 100,000 dinner date - reeseynem lyrics
- cavaler - timal lyrics