
nangatuka - professor jay lyrics
Loading...
yeah
napiga goti natubu
kwa mungu w-ngu na jamii
nimefanya mambo mengi
kwa kutumia cheo
naamini cheo dhamana
nisamehe nisamehe
nang’atuka nimeshaikosea jamii nikajiita mungu mtu nikajiita nabii
mwenyeenzi k-mbuka na nafsi hii
napiga goti natubu daima nitakusihi
nang’atuka nimeshaikosea jamii
nikajiita mungu mtu nikajiita nabii
muda sasa umewadia ndugu zangu watanzania
mambo niliyoyafanya hayapaswi kusimuliwa
tangu nilipoomba kura kwenye ndio mzee
mkanipa na kusababsha uchumi ulegee
kura zikawa kula nikaishi kwa mlungula taratubu nikaanza kubadili mfumo na sura
nasisitiza sana masuala ya ajira
k-mbe uongo nikaanza kugawa vyeo kwa hila
hata mashori w-ngu niliweka mataahira na kusababsha uongozi w-ngu upoteze dira
Random Song Lyrics :
- standin on shit - 10kdunkin lyrics
- moga 3alya | موجة عالية - mostafa elnesr lyrics
- tengo en venta el corazón - emanero lyrics
- sugus - stiffy lyrics
- limitless - ateez lyrics
- slaughter the sons ov god - divinitist lyrics
- fantasy - trendz lyrics
- the kiss - caroline rose lyrics
- gamblin' - baby gos lyrics
- particulière - alternative version - leslie medina lyrics