
bimbilika - q-chief lyrics
[intro]
haya bimbilika, nikipiga zangu zeze
[?dax ah pon dis fire?]
leo goma tuicheze (oh)
haya bimbilika, nikipiga zangu zeze
funga kibwebwe
leo goma tuicheze
no*no, no*no, no
nah, nah, nah, njagala
no*no, no*no, no*no
[verse 1]
kwa kiasi kikubwa ‘umenipendeza
nimeona niseme mapema
maana pendo langu ndio nadhiri
na nna dunduliza na bangaiza
nipate visenti, kitoweo’ nilete kwako, ah
my baby
no*no, no*no
naona hunielewi
kama ni moto ‘umekolea
penzi langu nalichochea
[pre*chorus]
namwaga mbolea, pendo linamea
juu kidedea, najidekea
mi samaki kwenye maji
machozi yangu huwezi kuyaona
pumzi yangu, darling
ni wewе
[chorus]
haya bimbilika, nikipiga zangu zeze (zezе)
funga kibwebwe, leo goma tuicheze (tuicheze)
haya bimbilika, nikipiga zangu zeze (zeze)
funga kibwebwe, leo goma tuicheze (tuicheze)
[verse 2]
naomba usiende mbali sana
naona kama ukienda haurudi
na ndio maana popote huwapo napendaga nijue
usione kero, watu w*ngu wajue kama nakupenda kweli
na malengo na mipango nawe
[?neno ni nini?]
maneno ni mingi, ‘sipendi kukudanganya
mapenzi ya [?] waachie kina kajala
hakuna mwingine [? onane]
[pre*chorus]
namwaga mbolea, pendo linamea
juu kidedea, najidekea
mi samaki kwenye maji
machozi yangu huwezi kuyaona
pumzi yangu, darling
ni wewe
[chorus]
haya bimbilika, nikipiga zangu zeze (zeze)
funga kibwebwe, leo goma tuicheze (tuicheze)
haya bimbilika, nikipiga zangu zeze (zeze)
funga kibwebwe, leo goma tuicheze (tuicheze)
(instrumentals)
[hook]
mi samaki kwenye maji
machozi yangu huwezi kuyaona
pumzi yangu, darling
ni wewe
[outro]
haya bimbilika, nikipiga zangu zeze (zeze)
funga kibwebwe, leo goma tuicheze
…
leo ngoma tuicheze (tuicheze)
Random Song Lyrics :
- каменоломня (quarry) - atl lyrics
- right round (mark brown remix) - flo rida lyrics
- you are an airplane (world trade remix) - of montreal lyrics
- shine david's song - lamar thomas (rapper) lyrics
- fo sho shot - anotha level lyrics
- smoggy mountain high - key losers lyrics
- da terracina cor furgone - flaminio maphia lyrics
- engel fliegen einsam - adoro lyrics
- red alert (remix) - team 119 lyrics
- everyday - naseem lyrics