
ananijali (god cares for me) - quest nairobi chapel lyrics
Loading...
nimeomba,
tena sio mara moja, kwa roho na kwa kweli
bali sij-pata, majibu yangu kuyaona
adui shetani muongo
asema yakwamba mwenyezi mungu, yeye hanijali bali
siwezi, sitomkubali
ninayo hakikisho, ya kweli mimi ninajua
ananijali
sitokubali kuzama kwenye maji
ananipenda yeye ni mwema
ni za dunia
zangu hizi shida, hazitanizuia, kukutumikia
nitafuata mimi hiyo njia, ya kweli na uzima
kwani ulisema yote yamekwiska
sitababaishwa, ninajua yatapita
kwani, baada ya usiku giza
ninayo hakikisho, asibuhi itafika, kwani
ananijali
sitokubali kuzama kwenye maji
ananipenda yeye ni mwema
Random Song Lyrics :
- supreme - yung dicaprio lyrics
- tears - perzonal war lyrics
- morena dos olhos d'água - gal costa lyrics
- wishing for - jackson too gucci lyrics
- annabel - pickering pick lyrics
- dead winds of hope - mors principium est lyrics
- spalding - famous dex lyrics
- liquid dealer - winin65 lyrics
- i ain't nobody's problem - the lumineers lyrics
- staggering - darcy baylis lyrics