
don’t play this song - rapcha lyrics
[verse 1]
smoking everyday hoping i will die sober
wallet haijashiba and na nna get much older
dunia haina mwenyewe so kataa uoga
all ass kissers don’t play this song
straight up
success haiwi overnight
ndoto niliyonayo kubwa ila i’m sure haiko oversize
ingawa huu ni mziki wa kidunia hata huyo
shetani asingeweza rap hivi, on god
ndoto yangu kubwa kabla ya kutamani nyumba na magari nlitamani kuiona mbingu
mungu akanibariki vingi zaidi ya nyumba na magari na akafanya nkiwa duniani nikaiona mbingu
safina ikirudi mara ya pili sijui kama hata ntapata nafasi
wenye nafasi wamejaa ubinafsi
binafsi wanangu ntawak*mbusha kila asubuhi
wasitumie pesa kutafuta vitu ambavyo pesa hainunui
iwe normal tu kusema hapana
tena of course tunaingia sana hasara kwa kukwepa lawama
tena mostly kwa kufurahisha wana
so ukiona sijawahi kuku’impress don’t play this song
cosmas p
kila nilichokosa shule nakipata kwenye kila conversation na p
nikihema juu ya beat ni hit
ukali w*ngu upo kwenye ngoma zangu ambazo huzizingatii
[chorus: leysir brown]
sina time ya mchezo mr devil leo haunipati
sitaki kujieleza, sina tena mpango wa kupoteza wakati
macho kwenye pay i’m on a mission
bado siwezi relax
macho kwenye pay
mishe mishe ziko macho day and night
uuuh uuh
uuhh uuh
uuuh uuh
uuhh uuh
[verse 2]
mvp kwenye pitch i’m a real star
sense in everything i spit kwenye each bar
‘ucking this game na style zote linakaa
hawa polisi hawaleti peace wanatunyima raha
niwe faraja kwenye vilio
mi sihitaji kuwa maarufu nahitaji tu dunia nzima inipe sikio
so ukihisi mfoy anatafuta ustaa social media wala usipoteze mb don’t play this song
na ntapiga billion streams muda ambao wote mtapagawa
mkiwa busy kuwalea machawa
busy mkijiuliza tu kwanini wasanii hawapatani
wakati swali linatoka kwa wanaowagawa
hamna power
mziki umechange my story
sitosahau siku father p ananipa deal ya over 20 milli
kila siku mpya naongezeka akili sio mwili
big shoutout whoever play my songs
nnavyozidi kwenda juu n*z*di kuwa mpweke tu
sometimes nacheka mbele ya camera tu
sometimes huwa nacheka ili tu nifiche yanayonisibu
but only god knows what i’m going thru
drinking everyday, hoping i will die sober
iwe normal tu kusema sitaki
binafsi wanangu ntawak*mbusha kila asubuhi
wasitumie pesa kutafuta vitu ambavyo pesa hainunui
[hook: rapcha]
winning everything i win i win i win
win i win i win i win win i win
i win i win i win i win i win i win i win
Random Song Lyrics :
- made in love - samantha urbani lyrics
- tästä asti aikaa - vesa-matti loiri lyrics
- starting over - vanessa bling lyrics
- triple hhh - a$ton matthews lyrics
- dry fruit - sryan lyrics
- house of ghosts - ohga lyrics
- i does this - shaodow lyrics
- my panic! room - x the unknown variable lyrics
- find freedom lonely losers - bobby woody lyrics
- young man blues - joe bonamassa lyrics