lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

sometimes - rapcha lyrics

Loading...

sometimes, sijui ni nini kinachoendelea inside my head

naamka ingawa nimechoka najua solution siwezi kuipata kwa bed

nakua na hasira kinoma sometimes, inahitaji hekima kuidhibiti

nikishampiga kiss mary jane, day ndio inaanza kuwa lit

sometimes, nahitaji kuspend muda wa kutosha na family

shida inakuja kuwa huo ndio muda natafuta ugali wa family

natia mashaka ninaowaamini sometimes, najua maumivu ya usaliti

na ninaamini watu nisiowajua sometimes ingawa naweka limits

moyo ni tough ka mike tyson ila sometimes unaweza anguka

nakua mpole ka michael jackson ila sometime nakua tupac

kuna mipaka haiwezi vukwa maana respect haiwezi shuka

vita ya maneno haiwezi zuka maana ofcoz hiyo stage tumeshavuka

sometimes natamani ku fake death ili nikaanze maisha somewhere
ila nitaacha maumivu nyumbani yatakayonitesa ninakoelekea

inabidi nifanye maamuzi magumu sometimes kuupa moyo wepesi

na sometimes, ukimya unakuaga very loud na ni bonge la defence

staki kuendeshwa na presha ya chochote cha dunia hii

naomba sana mungu aniongoze afuatane na mi

staki kuendeshwa na presha ya chochote cha dunia hii

mbali na mi

ipite mbali na mi

natamani nilie sometimes ila kama kidume ntajiona nimeanza kuwa soft

na kufunguka yanayonisibu nahofia mbeleni itakuja nicost

naamini mungu ananilinda na mengi ndo maana sometimes sihitaji kuforce
ili anipe akili ya kutunza faida ninaonja kwanza loss

nawaumiza ninaowapenda sometimes, najikuta sina jinsi

na n*z*ngua makusudi sometimes lawama n*z*tupa kwa ibilisi

naacha ninaowapenda waende sometimes
inakuaga crazy sometimes

nawapiga chini hadi ndugu

nimeanza kuwa sugu wa maumivu

nashindwa kuwa bubu sometimes

nna agh!

ninakua na idea za kufanya mambo makubwa sometimes

lakini adui namba moja anaetukwamisha ni uoga tu most of the time

kilio kinaweza kuibuka tu ndani ya dakika unayocheka sometimes

na msaada mkubwa unaopokea, ndo anguko lako sometimes

staki kuendeshwa na presha ya chochote cha dunia hii

naomba sana mungu aniongoze afuatane na mi

staki kuendeshwa na presha ya chochote cha dunia hii

mbali na mi

ipite mbali na mi

uuuh

mbali na mi

ipite mbali na mi

uuuh

mbali na mi

ipite mbali na mi

Random Song Lyrics :

Popular

Loading...