basi - raptor el shariff lyrics
Loading...
intro
licha ya k*mthamini
akaona mi simfai
sababu ya yule mwafulani
ndiyo maana anajidai
mara atanitukana mara ataniblock
hivi matusi ya nini?
haya yangu machungu
moyo w*ngu mi mchungu
liko wapi langu fungu?
siwezi jibizana ila namwachia
mungu
yeye ndiye mwenye huk*mu
kwenye mapenzi ya kudumu
chorous
basi ,oh basi!isijekuwa mikosi
outro
hivyo vijikokopa ya nini masimango?
mwili unakondakonda ndiyo kwanza bado
oh basi , basi acha niende zangu mama
ndugu zake nawafahamu akina sadamu
ila walinitoka hamu waliponipanga kwa zamu
oh basi, basi acha niende zangu mama
Random Song Lyrics :
- rudo (skit) - ly raine lyrics
- madame zamporium's wax emporium - let's make a music lyrics
- cry - royal shades lyrics
- lass los - milonair lyrics
- twoja decyzja - major spz lyrics
- half year sun - the promise ring lyrics
- chuchumbe - david wax museum lyrics
- only yours - r. city lyrics
- turn (ayokay remix) - the wombats lyrics
- "old games." - xyextinction lyrics