
upepo - recho kizunguzungu lyrics
(verse 1)
upepo w*ngu wakupuliza wewe, mwenye joto kali
usijaribu kuvaa sweta, utaongeza ukali
nachotaka mimi ni kuwa na wewe, naomba unielewe
uhh baby
(verse 2)
upepo w*ngu wakupuliza wewe, mwenye joto kali
usijaribu kuvaa sweta, utaongeza ukali
nachotaka ni mimi kuwa na wewe, naomba unielewe
uhh baby
(chorus)
moyo unaniuma mpaka nasema, mpaka najihisi sio mzima
nafsi inaniuma siishi kwa wema, mpaka najihisi sio mzima
unaniumiza, unaniliza
unaniumiza, mpaka najihisi kwamba sio mzima
(verse 3)
mbona umen’goa ng’oa ng’oa (soli, soli ya kiatu)
mbona umen’goa ng’oa ng’oa (soli, soli ya kiatu)
ona umekimbia, umejichoma (aah umejichoma)
ona umekimbia, umejichoma (aah umejichoma)
ona kwa aibu, umejichoma (aah umejichoma)
ona umekimbia, umejichoma (aah umejichoma)
(bridge)
ai yeah yeah yeah yeah
(verse 4)
umeniachia vidonda moyoni, vitapona lini
niwe tabibu mwenye tiba yakini, kwa yangu afueni
nachotaka mimi ni kuwa na wewe, naomba unielewe
uhh baby
(verse 5)
umeniachia vidonda moyoni, vitapona lini
niwe tabibu mwenye tiba yakini, kwa yangu afueni
nachotaka mimi ni kuwa na wewe, naomba unielewe yeah
uhh baby
(chorus)
moyo unaniuma mpaka nasema, mpaka najihisi sio mzima
nafsi inaniuma siishi kwa wema, mpaka najihisi sio mzima
unaniumiza, unaniliza
unaniumiza, mpaka najihisi kwamba sio mzima
(outro)
mbona umen’goa ng’oa ng’oa (soli, soli ya kiatu)
mbona umen’goa ng’oa ng’oa (soli, soli ya kiatu)
ona umekimbia, umejichoma (aah umejichoma)
ona umekimbia, umejichoma (aah umejichoma)
ona kwa aibu, umejichoma (aah umejichoma)
ona umekimbia, umejichoma (aah umejichoma)
Random Song Lyrics :
- mvp - bando jonez lyrics
- you gonna get it - clayborne family lyrics
- ryyppy (hevoshullu remix) - stig lyrics
- solitaire - louis chedid lyrics
- working - elliott parker lyrics
- straighten up & fly right (jazzelicious remix) - carmen mcrae lyrics
- mes vacances d'été - daniel lavoie lyrics
- bars to how many mics by the fugees - will and the mix lyrics
- donde esta mi gata - yandel lyrics
- lm(a)o - charles hamilton lyrics