
oksijeni - rodjazz lyrics
oksijeni lyrics
song title: oksijeni
verse one
kama jua kuwaka kati ya usiku
ilivyokuwa haiwezekani, ndivyo ilivyo kw*ngu
kujifanya nimesahau kila kitu
wakati sura yako ndiyo
naiona nikifumba macho
bado nakupenda
moyo w*ngu unao
wewe ni kila kitu kw*ngu
mbali huko uliko
pumzi yangu unayo wewe
nakupenda
chorus
bado maswali ni mengi lakini poa
nitakuwa salama
moyo umekukosa lakini poa
nitakua salama
unazurura, zurura akilini
ooh unazurura zurura akilini
verse two
oh, baby oksijeni yangu
chumba spesho cha moyo w*ngu
nimeona mengi maajabu
lakini kwako ninastaajabu
nimeona jua likich0m*za magharibi
mwezi ukiwaka alasiri
maji yakipanda kitonga
lakini yako bado ni mageni
bado nakupenda
moyo w*ngu unao
wewe ni kila kitu kw*ngu
mbali huko uliko
pumzi yangu unayo wewe
nakupenda
chorus
bado maswali ni mengi lakini poa
nitakuwa salama
moyo umekukosa lakini poa
nitakua salama
unazurura, zurura akilini
ooh unazurura zurura akilini
Random Song Lyrics :
- speak - everything in slow motion lyrics
- fake love and shit - lionder lyrics
- apocalypse zone - cryptic one lyrics
- kehlkopfkrebs - fette krokette lyrics
- głośniej od bomb - pjus lyrics
- whoa! (clean version) - black rob lyrics
- adrenaline - dj méndez lyrics
- herzattack-ack-ack - kmpfsprt lyrics
- book of lies (ft. ndgo) - doze one lyrics
- og gudenåen går mod kattegat - lars lilholt band lyrics