
kijiwe nongwafeat nay wa mitego - rostam lyrics
is another one
take five now
alikuja kama masii tukamchangia sadaka
tukamuona nabii alieshushwa siku ya
pasaka tukamtolea na zaka ili kanisa alijenge
ehee na bado akamlaza muhumini kifo cha mende
hivi unamk-mbuka babu
babu wa loliondo
ahaa yule mfugaji mwenye bilichi ya kikongo
watu wamekufa watu wamefungwa watu wamepoteza biashara
sawa uchaguzi umekalibia amerudi chama tawala
vipi dada yetu wa igunga simioni udangaji
ahaa mbona ameshapata mchumba sio vibeniteni wazamani
yule fundi geleji chawa si kamteka bibie
na wamefungua magahawa yani wote mama ntilie
na kuna demu aliachiwa mtoto na akaolewa na mtoto
akaachana na mtoto na akabaki anamlea mtoto
izi ndoa za mjini bwana zinasikitisha
ehee zinafungiwa chumbani na zinavunjikia insta
soka la bongo linakwama wapi tff maana take
nini,tanzania football felia ndio nacho jua mimi
unamf-kuzaje amunike ili uzaifu wenu muufuge,
Random Song Lyrics :
- mr. incredible - big sean lyrics
- shadows - prepare the grave lyrics
- wonderful world - live in tokyo - james morrison lyrics
- you're not there - eddplant lyrics
- disco is as disco does - dan luke and the raid lyrics
- du kjenner ikke meg - padde lyrics
- big bad world - diggy lyrics
- jour après jour - grizzly942 lyrics
- happy - matthew perryman jones lyrics
- maria - souhail ess lyrics