
watumishi wake baba - sauti tamu melodies lyrics
watumishi wake baba w*ngapi waliopo
wanakula na kusaza chakula chake baba
nami * nami nataabika hapa
nashi * nashiriki na nguruwe
chaku * chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita * nitarudi na kusema
baba * baba yangu nisamehe
nime * nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
baba kamwona yu mbali kashikwa na huruma
akakimbia k*mlaki kamk*mbata na busu
nami * nami nataabika hapa
nashi * nashiriki na nguruwe
chaku * chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita * nitarudi na kusema
baba * baba yangu nisamehe
nime * nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
baba sistahili tena kuitwa mwana wako
unifanye kama mmoja wa watumishi wako
nami * nami nataabika hapa
nashi * nashiriki na nguruwe
chaku * chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita * nitarudi na kusema
baba * baba yangu nisamehe
nime * nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
baba yangu nimekosa ninaomba huruma
unisamehe nirudi nikakutumikie
nami * nami nataabika hapa
nashi * nashiriki na nguruwe
chaku * chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita * nitarudi na kusema
baba * baba yangu nisamehe
nime * nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
wanikaribisha mimi kwenye karamu yako
meza imeandaliwa inaningoja mimi
nami * nami nataabika hapa
nashi * nashiriki na nguruwe
chaku * chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita * nitarudi na kusema
baba * baba yangu nisamehe
nime * nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
nasogea ninakuja ninakukimbilia
mimi ni mtoto mpotevu baba unipokee
nami * nami nataabika hapa
nashi * nashiriki na nguruwe
chaku * chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita * nitarudi na kusema
baba * baba yangu nisamehe
nime * nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
Random Song Lyrics :
- späh späh spionage - kazim akboga lyrics
- alo - kalazh44 lyrics
- dark green water - great grandpa lyrics
- wildlife 2 - buck 65 lyrics
- vocé - dom la nena lyrics
- mientras el sol nos quema - como asesinar a felipes lyrics
- rap god remix - joshcarroll323 lyrics
- superstar - lil rall lyrics
- just so you know (migtight remix) - holly palmer lyrics
- modded griefers - latez animations lyrics