
hurulaini (feat. fo'real beatz) - sir yongo lyrics
[intro]
it’s sir yongo!
eh eh!
eh eh, eh!
[verse 1]
baby wacha n’nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n’seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
nimekuchagua, naamini unanipenda
penzi nikaamua, sitoweza kukutenda
huba ni maua, harufu tamu imetanda
vile wanitambua, nitazidi kukuganda
[chorus]
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi, mw*ngu mtimani
nakuona wewe (eh eh!), mwenye thamani (eh eh, eh!)
[verse 2]
baby wacha n’nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n’seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
mtoto mwenye figa, ninajua ulivyoumbika
sura wanaiga, kimwana umehulukika
madaha kama twiga, nikikuona nabambika
vile wanipendaga, kwako baby nimeshika
[chorus]
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi (nimekuhifadhi), mw*ngu mtimani (mw*ngu mtimani)
nakuona wewe (nakuona wewe), mwenye thamani (baby una thamani)
katu sitoweza (sitoweza, baby), kukutupa chini (aaah!)
[outro]
ashizo baby
Random Song Lyrics :
- worthwhile waste of time - spunge lyrics
- tennessee - porter [audio] lyrics
- wait 4 you - cudi dales lyrics
- sign - moiss band lyrics
- guess again... - elliott power lyrics
- fly lo - crystal - fly lo247 lyrics
- exit wounds - ofhuman lyrics
- speak it - eligh and dj fresh lyrics
- save yourself - jj shadow lyrics
- blunt therapy - right timing lyrics