
mtanziko (utata wa maisha) - sir yongo lyrics
[intro]
yeah, yeah, yeah
woah, woah, woah
oo ooo ooo
it’s sir yongo!
[verse 1]
utamu wa kuogelea, ni kuwa ndani ya maji
utamu wa kuongea, upate msikilizaji
utamu wa mw*ngaza, mpaka ujue na giza
nuru inapotandaza, hutoweza kubeza
[pre*chorus]
ni kama mtanziko, haya mambo
huku na huko, mbiu ya mgambo
ni kama sielewi, kutoka kitambo
uu uuuu
[chorus]
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
[verse 2]
mbogi inasema, “yongo ’sikate tamaa”
nami nasema, “vipi na hizi balaa”
nikilalama wanasema, “si sawa”
“zidi ‘kazana, hiyo tu ndiyo dawa”
[pre*chorus]
ni kama mtanziko, haya mambo
huku na huko, mbiu ya mgambo
ni kama sielewi, kutoka kitambo
uu uuuu
[chorus]
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
[outro]
ni kama mtanziko
Random Song Lyrics :
- unsichtbar - robo lyrics
- homo sapiens - götz widmann lyrics
- nadie más que tú - andrés vignau lyrics
- табе (to you) - вожык (vozhyk) lyrics
- двуликость - drippi, yogan lyrics
- boom, boom! - anacron lyrics
- smite deinen tower - niksda lyrics
- let's go - illogic lyrics
- in her eyes - the nitty gritty dirt band lyrics
- blown fuse - broncho lyrics