
mangapi - sollo brown lyrics
#instrumental
yeah, yeah
sound’s better
eeee eeh
skaiii
ukiwa peke yako ooh
fikra wazo lako ooh
watu wanakusema wanakupiga vita kila maraa
yeah
hata imani ikayumba
shika ulichonacho so kasumba
k*mbuka unaweza ukitaka aah yeah
kupata kukosa juu yake ( aaaaah aaah ah)
kama maneno acha yasemwe ( aaaah aaah ah)
wewe ni dhahabu lazima ung’are ( aaaah aaah ah )
riziki yako ipo palepale
kupata kukosa juu yake ( aaaaah aaah ah )
kama maneno acha yasemwe
wewe ni dhahabu lazima ung’are ( aaaaah aaah aaah aaah )
riziki yako iko palepale
wamesema mangapi siku zinasonga
wamefanya mangapi hatua ninapiga
wamesema mangapi siku zinasonga
wamefanya mangapi hatua ninapiga
#instrumental
una stashahada lakini kazi hakunaga
umekosa ada na shule umef*kuzwa
mitihani umefeliii yaan kila kitu zigzaga
unahisi mungu kakuacha na binadamu wanakung’ong’a
miaka kadhaa umeumwa ndugu hawakutaki wamenuna
rafiki zako vipi wanaona habari yako insha wanasoma
usiwasikilize usiyaweke moyoni moyoni hiii iiii yeah
kupata kukosa juu yake
kama maneno acha yasemwe
wewe ni dhahabu lazima ung’are
riziki yako ipo palepale
kupata kukosa juu yake ( aaaaah aaah ah )
kama maneno acha yasemwe
wewe ni dhahabu lazima ung’are ( aaaaah aaah ah )
riziki yako ipo palepale
wamesema mangapi siku zinasonga
wamefanya mangapi hatua ninapiga
wamesema mangapi siku zinasonga
wamefanya mangapi hatua ninapiga
kusudi la mungu kw*ngu lipo
nitapambana hadi mwisho
sitaogopa na vitishoo oooh ooh
kusudi la mungu kw*ngu lipo
nitapambana hadi mwisho
sitaogopa na vitishoo ooh ooh
wamesema mangapi siku zinasonga
wamefanya mangapi hatua ninapiga
Random Song Lyrics :
- liiga - yscash x rb23 lyrics
- kokainowy baron (official video) - pablo x adivix lyrics
- back to basics - gquetv lyrics
- ako - alisah bonaobra lyrics
- sunrise - forester lyrics
- незнайомий (unfamiliar) - темний брил (temny bril) lyrics
- teddy - razorbladekisses lyrics
- aldrig gå tillbaka! - felix nordh lyrics
- ничего старого (nothing old) - ммф. (mifabc) lyrics
- omega - angelo mota lyrics