
nakupigia - susan wanjiru lyrics
intro
no no no no no kwani nini mhhh mhhh no no
chorus
usi zime simu mpenzi hujui kwanini mimi nakupigia,mbona wanichunia,usikatae kushika simu hujui ni nini ntakuambia, nini ntakuambia
verse 1
siku mbili au tatu sikuoni wewe uliondoka kwa hasira ukaenda zako, mizigo yako kachukua sijui sababu, nieleze ni kwanini we umeondoka
chorus
usi zime simu mpenzi hujui kwanini mimi nakupigia, (nakupigia nakupigia) mbona wanichunia (uuuuu uuh) usikatae kushika simu hujui ni nini ntakuambia, (ntakuambia ntakuambia) nini ntakuambia
verse 2
nimepata ujumbe wako katika barua umesema ati mimi nakupiga chenga ukasema uko na hakika niko na mwingine nakutafuta nikueleze lakini sikupati
bridge
kwanza sijui huyo ni nanipili sijawahi enda hepi peke yangu tatu unayo simu yangu na mimi nina yako, sina mwingine ni wewe peke yako, wewe pekee, wewe yeeeeh wewe(nakupigia nakupigia) shika simu mpenzi mpenzi (nakupigia nakupigia)nataka kukuongelesha, (uuuuu uuh) (ntakuambia ntakuambia) uuuusizime simu nataka kukuambia (ntakuambia ntakuambia)usizime simu usikatae, hujui kwanini nakupigia usizime usizime usikatae usikatae kushika simu yangu, mimi ntakuambia, usikatae usikatae
Random Song Lyrics :
- what we need - brenda guisande lyrics
- monsters - stenchii lyrics
- saatten bi'haber - çınar ciğer lyrics
- dangerous kiss - danko jones lyrics
- dope & gunz - yaya white lyrics
- linda mañana - rodrigo lyrics
- pulang - thohar lyrics
- made in paris - paulo d lyrics
- aunque no me entiendan - dibujo mc lyrics
- terrien - kro lyrics