
nenda - wahu lyrics
unawaponya wagonjwa na wenye vifafa
vipofu na vilema
hata niwe na shida zenye utatata
miujiza unatenda
wacha nikuiite yahweh
mfalme wa wafalme
hakuna kama wewe uhimidiwe bwana
oh moyo yahweh ninataka nifanane nawe
wema wako ninataka nifanane nawe
oh yahweh ninataka nifanane nawe
wengine wanashindwa vumilia kwako
wanaenda kuchawiya kipato
hawajui fahari ni wewe utajiri wako wa milele
mbinguni na duniani oh baba
unawaponya wagonjwa na wenye vifafa
vipofu na vilema
hata niwe na shida zenye utatata
miujiza unatenda
wacha nikuiite yahweh
mfalme wa wafalme
hakuna kama wewе uhimidiwe bwana
oh moyo yahweh ninataka nifanane nawе
wema wako ninataka nifanane nawe
oh yahweh ninataka nifanane nawe
i want to be just like you ninataka nifanane nawe
to be like you ninataka nifanane
oh yahweh ninataka nifanane
Random Song Lyrics :
- write a little prayer - dorothy moore lyrics
- koi fish confessional - hidekki lyrics
- sick (live studio session) - evanescence lyrics
- hy-brasil - allison russell lyrics
- all the best intentions - couchsleepers lyrics
- i hate white girls - creepybrook lyrics
- grace - 4 minutes later lyrics
- min klage - truckerfucker lyrics
- you are special - boys republic lyrics
- женщина - pozory lyrics