
poverty (swahili version) - yemi alade lyrics
ooh yeye yeye yeye aah ah
ooh yeye yeye yeyee yee eh
oh ooh oh
no no no no no no
sitaki umasikini maishani hapana oh
sitaki umasikini maishani hapana oh
sitaki umasikini maishani
umasikini maishani
umasikini maishani hapana oh
nasema hapana, hapana aah
sema hapana, hapana aah
nasema sitaki (no no no no no)
mi sitaki (no no no)
ay hapana aah
thamani yangu masaa nitatumia vyema oh
baba mungu kanibariki nitatumia vyema oh
hesabu baraka ndugu yangu
oh dada yangu
zitaje moja kwa moja
umasikini ni ugonjwa na sitaki kugonjeka
yahweh yuko na sisi, shida hutuhepa sisi
woyo yo, woyo yo
baraka zazidi kunifuata
sitaki umasikini maishani hapana oh
sitaki umasikini maishani hapana oh
sitaki umasikini maishani
umasikini maishani
umasikini maishani hapana oh
nasema hapana, hapana aah
sema hapana, hapana aah
nasema sitaki (no no no no no)
mi sitaki (no no no)
ay hapana aah
umasikini ni ugonjwa na sitaki kugonjeka
yahweh yuko na mimi, shida hutuhepa sisi
woyo yo, woyo yo ooh oh
baraka tele hunifuata
cheki nikishine prosperity follow me
cheki nikishine excellence follow me
everywhere i go
na sasa sasa currency mpya
i no want poverty for my life
sitaki umasikini maishani hapana oh
sitaki umasikini maishani hapana oh
sitaki umasikini maishani
umasikini maishani
umasikini maishani hapana oh
nasema hapana, hapana aah
sema hapana, hapana aah
nasema sitaki (no no no no no)
mi sitaki (no no no)
ay hapana aah
Random Song Lyrics :
- talk dirty freeverse - james grim lyrics
- devil's arms - brother ali lyrics
- in the middle - nero remix - the streets lyrics
- whodeanez - edisto illizhii lyrics
- twitter bars 1 - lupe fiasco lyrics
- voodoo chile - live from madison square garden - eric clapton lyrics
- step yer bars up! (michelle obama diss to kendrick lamar) - beverly hoodz lyrics
- jive - indie thot lyrics
- dendy - youngxsvnset lyrics
- iskra - divizija lyrics