
tzk (tabia za kibongo) - young daresalama lyrics
basi mpaka pamba anatokea
kwenda kwa waganga ameshazoea
nyumba za kupanga zimejaa umbea
na ukishikwa unachambwa usije kuongea
wengine kawa washamba ila ndo wana hela
wengine kawa baba ila ndo masela
wengine wanapanga wazamie kwa mandela
ila wengine wana mapanga lazima utoe hela
utamkuta yuko bar hata kama mf*koni hana hela
utakuta anasema sana hajui anacho ongea
hizo tabia za kibongo
hizo tabia za kibongo (lala lalala)
hizo tabia za kibongo
hizo tabia za kibongo (lala lalala)
wakupendaga vitamu, hawana kitu
ila vile wanavaa utasema bongo bahati mbaya
hii ni daresalamu baby
ati wana beef hadi za issue ndogo kama kutosalimiana
hapo juu instagram kudiscuss stori za mastaa
wana sehemu ya kukaa
na wanashindaga maskani
kudiscuss stori za wenzao bora hata ashinde njaa
huku *n*lia njaa kule w*n*lia njaa
ila ikifika ijumaa viwanja vyote vinanoga
nikicheki walivyovaa machizi wanashine
machizi wana yeezy ambazo hata hazijatoka
utamkuta yuko bar hata kama mf*koni hana hela
utakuta anasema sana hajui anacho ongea
hizo tabia za kibongo
hizo tabia za kibongo (lala lalala)
hizo tabia za kibongo
hizo tabia za kibongo (lala lalala)
heyoo, howeee
shida nini kwako wee
unaumiza wеnzako tu
hauelewi usawa huu
hakuna apendayе taboo
utamkuta yuko bar hata kama mf*koni hana hela
utakuta anasema sana hajui anacho ongea
hizo tabia za kibongo
hizo tabia za kibongo (lala lalala)
hizo tabia za kibongo
hizo tabia za kibongo (lala lalala)
karibu bongo daresalama kwani we uko wapi?
mabombo wanajua sana kila mtu ni mjanja
mshamba yu wapi?
Random Song Lyrics :
- no time - extra time mix - the heavy lyrics
- fuld, gik kold, fuld igen - vild smith lyrics
- soorathaye jadid - sepehr khalse lyrics
- yellow candle - xiu xiu lyrics
- hotel costes - jaylien lyrics
- supposed to be in love - unik god lyrics
- keep my heart open - green river ordinance lyrics
- keep right - the quiett lyrics
- сердце пацана (man's heart) - ярмак (yarmak) lyrics
- nothing nowhere - first of all lyrics