
nipeni nafasi nimsifu mpenzi wangu 2 - zanzibar taarab lyrics
waa waa waaah
nasifu uzuri, wake uliyotimia
tena kwa fakhari, yeye ninajivunia
nasifu uzuri, wake uliyotimia
tena kwa fakhari, yeye ninajivunia
ni kichinchiri, umbile na sura pia
na rangi nzuri, ahsmari yavutia
mengine ni siri mengine ni siri
mengine ni siri mengine ni siri
mtoto mengine ni siri
sisemi mkasikia
mengine ni siri mtoto
mengine ni siri mengine ni siri
sisemi mtazimia, mtoto
nipeni nafasi, nimsifu mpenzi w*ngu
kwa sifa halisi, kapewa na mola w*ngu
waa waa waaah
waa waa waaah
nasifu na mwendo, atembeapo azizi
sio wa vishindo, viatu havikwaruzi
nasifu na mwendo, atembeapo azizi
sio wa vishindo, viatu havikwaruzi
enda kizalendo, viungo hakazanishi
pole pole mwendo, wa haraka hauwezi
enda kizalendo, viungo hakazanishi
pole pole mwendo, wa haraka hauwezi
kama aso fundo kama aso fundo
kama aso fundo mtoto kama aso fundo
kama aso fundo maringo yake na pozi
kama aso fundo mtoto kama aso fundo
kama aso fundo maringo yake na pozi
mtoto
nipeni nafasi, nimsifu mpenzi w*ngu
kwa sifa halisi, kapewa na mola w*ngu
nipeni nafasi, nimsifu mpenzi w*ngu
kwa sifa halisi, kapewa na mola w*ngu
s*m*ni
waa waa waaah
waa waa waaah
nasifu na mwili, vyema ulivyoumbikaa
mezidi jamali, aliyempa rabuka
nasifu na mwili, vyema ulivyoumbikaa
mezidi jamali, aliyempa rabuka
sio barmili, si unene wenye mashaka
sijiwezi kweli, kwako ninnaghafilika
sio barmili, si unene wenye mashaka
sijiwezi kweli, kwako ninnaghafilika
potelea mbali potelea mbali
potelea mbali potelea mbali mtoto
potelea mbali watasema watachoka
potelea mbali mtoto potelea mbali
potelea mbali potelea mbali
watasema watachoka mtoto
nipeni nafasi, nimsifu mpenzi w*ngu
kwa sifa halisi, kapewa na mola w*ngu
nipeni nafasi, nimsifu mpenzi w*ngu
kwa sifa halisi, kapewa na mola w*ngu
s*m*ni
waa waa waaah
waa waa waaah
nasifu na udi anao jif*kizia
sio kila iddi daima amezoea
nasifu na udi anao jif*kizia
sio kila iddi daima amezoea
hadi nafaidi uzuri ulonukia
ni udi wa jadi si ule wa kudandia
udi wa mawardi ni udi wa mawardi
udi wa mawardi udi wa mawardi
ndio anaotumia udi wa mawardi
udi wa mawardi udi wa mawardi
ndio anaotumia mtoto
nipeni nafasi, nimsifu mpenzi w*ngu
kwa sifa halisi, kapewa na mola w*ngu
nipeni nafasi, nimsifu mpenzi w*ngu
kwa sifa halisi, kapewa na mola w*ngu
s*m*ni
waa waa waaah
Random Song Lyrics :
- can't trust - airr lyrics
- religion - nolto & factor lyrics
- corazón de roca - lucero león lyrics
- masoquista - fer lyrics
- time of silence - hb lyrics
- rykliai ir vilkolakiai - jurga lyrics
- where's my checc? (skit) - brotha lynch hung lyrics
- själavrak - thyrfing lyrics
- acorralados - boomerang feat. francisca y los exploradores lyrics
- don't panic (blue room version) - coldplay lyrics