
makonzi - zuchu lyrics
[intro]
lg ih
lg ah, ah ah
mr lg
[verse 1]
ndo kakwambia ataniacha
haha hehe unachekesha sana
hizo ni ndoto za alinacha
haha hehe anakundanganya
hata umpe nini
hunin’goi unajisumbua mwaya
huyo bila mimi, hatoboi
nimemshika pabaya
[pre chorus]
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
na nikikukuta nae
[chorus]
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
[verse 2]
kwanza unitambie umenizidi nini
kubattlle na mie
uje na wenzako tisini
uliza uambiwe
mimi mtoto wa nani (kapaa)
ukijifanya chawa
mi mwenzako kunguni
huna nini ?
huna jipya nenda kwa mwampopo
kikisafishwa labda ndo upate soko
huna nini ?
huna jipya nenda kwa mwampopo
kikisafishwa labda ndo upate soko
[pre chorus]
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
na nikikukuta nae
[chorus]
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
Random Song Lyrics :
- jeszcze tylko chwila - kapitan nemo lyrics
- beautiful war - ghaniyya ghazi lyrics
- scratches and stiches - lil liar lyrics
- dying (reborn) - peachairee lyrics
- september when i first met you (7" version) - barry white lyrics
- we used to be - cyrus gooljar lyrics
- dirty mind - tages lyrics
- przyjaciółka - danon feat paweł motyl lyrics
- idole des jeunes - boobar lyrics
- so forgettable - anxiety attacks! lyrics