lirik lagu chapaa – abbas kubaff
[intro]
mi nalike chapaa vile we hu-like chapaa (yeah)
mi n-z-peleka bank ukizipeleka bar (round hii niko serious)
(tshazi twende kazi, ye-ye-ye-yeah)
[verse 1]
doobeez ni mchizi mi ni msanii toka c-vo
sisikiki sishikiki stishiki na vitisho
naenda job na jeans juu nimevalia t-sho
na tangu kitambo mi huwa, hivo-hivo
mc’s wana ji-do k-mbe hawan hata dough
dough zimefanya ati watu mapembe zigrow
wanapenda kujigamba na k-mbe hawana hata flow
traffic haijambamba mzeya, basi mbona unaenda slow?
nairobi ukisleki basi jo utakuta door
utakutwa na mtu tisa ukitoka carnivore
chuma kwenye kichwa mzeya, eti juu
mi n-z-peleka bank ukizipeleka bar!
[chorus]
mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
mi n-z-peleka bank ukizipeleka bar
[verse 2]
nafika coast ku-cruise ndani ya 4×4
naenda kupiga show, cds na ma-c-sso
mf-ko nimesota, mzeiya jo niko na soo
lakini haina noma, i hope mzeiya uko po-a
seti hii kwa player juu kapuka imenibo
tshazi twende kazi wacha jo niwapeleke slow
wacha niwa-show jinsi ya k-make dough
stage nikifika nipe mbili za vodo
oh! oh! oh! cheki ma-fovo
cheki hizo macho jo mzeiya utasema “oh!”
bora tu nifike mzeiya nipige show
mi n-z-peleka bank ukizipeleka bar!
[chorus]
mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
mi n-z-peleka bank ukizipeleka bar
[bridge]x2
watu wanasemanga mi nakaa tu msee wa mtaa
ni kama sina chapaa (we umesota!)
wengine wanasemanga mi nakaa tu ka jamaa
hawezi kuwa star (abbas umesota!)
watu wanasemanga mi nakaa tu msee wa mtaa
ni kama sina chapaa (we umesota!)
wengine wanasemanga mi nakaa tu ka jamaa
hawezi kuwa star (abbas umesota!)
[chorus]x2
mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
mi na-like chapaa, mi na mi na-like chapaa
mi na-like chapaa mi na mi na-like chapaa
mi n-z-peleka bank ukizipeleka bar
mi nalike chapaa vile we hu-like chapaa
mi n-z-peleka bank ukizipeleka bar
mi nalike chapaa vile we hu-like chapaa
chapaa, chapaa, chapaa
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu mons › lirik lagu the most effective way to save money on 3d printing – mons
- kumpulan lirik lagu necro › lirik lagu the circle of tyrants freestyle 2 – necro
- kumpulan lirik lagu marc torch › lirik lagu if you stay – marc torch
- kumpulan lirik lagu ene lo › lirik lagu strawberry – ene lo
- kumpulan lirik lagu after the summer › lirik lagu fake – after the summer
- kumpulan lirik lagu courtney cooper › lirik lagu waves – courtney cooper
- kumpulan lirik lagu lean c › lirik lagu poblado (remix) – lean c
- kumpulan lirik lagu fresquito mango › lirik lagu mándame un audio (remix) – fresquito & mango
- kumpulan lirik lagu skinny ita › lirik lagu miami – skinny (ita)
- kumpulan lirik lagu オカメp okamep › lirik lagu elegy – オカメp (okamep)