lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu tapo – angry panda clan

Loading...

aiii yeza, aaiii yeza
aiii yeza
angry panda under mikey

tapo tapo tapo
ka hayuko rada apigwe tapo
ni mtu wako w*ngu wa kando
ukilalisha bana napita nako

akijilegeza unapiga tapo
unakapoteza unapiga tapo
ukishateleza unapiga tapo
ati form tu ni tapo tapo tapo

nateleza kwa beat utadhani konokono
ye ni ka shabiki vile anatupa mikono
anashangilia ni ka ameshinda lotto
ati mi ni wake ala hio ni ndoto

kam nikushow vile jo si hufanya
hadi ukiniroga bado nitakuhanya
ukishaanika nakuja nak*manya
nauma napuliza najifanya kama panya

ye hupiga nduru manze ka scoobydoo
ashachanganyikiwa anadance skelewu
physically fit anabend ka bamboo
mi ndio nyuki napeana utamu

ka ni wako utabaki umeteta
nitacheza na hiyo mwili ka dictator
utabaki umeshtuka gai fafa
pewa kitu tetema kama kifafa

tapo tapo tapo
ka hayuko rada apigwe tapo
ni mtu wako w*ngu wa kando
ukilalisha bana napita nako

akijilegeza unapiga tapo
unakapoteza unapiga tapo
ukishateleza unapiga tapo
ati form tu ni tapo tapo tapo

ati, shikilia mali yako
kaa rada naweza pita naye
ju zikishika naeza shuka naye
na tutaenda home nitamsuka atanipee

pole pole tukiset
tumekuja na ubaya ona vumbi kasee
na watachora saba ju beat sio lame
next time kaa rada ju si ndo kusay

angry panda ndio name
vile si huwapanda utadhani tunadate
kacheze na matope hii game ni ya kizee
upende usipende huwezi kuwa mi

ah songa mbali na mi
ju ukikam sana itakuwa ngori daddy
ting a ling a ling ni za hit track ting
17b kasarani straight outta

tapo tapo tapo
ka hayuko rada apigwe tapo
ni mtu wako w*ngu wa kando
ukilalisha bana napita nako

akijilegeza unapiga tapo
unakapoteza unapiga tapo
ukishateleza unapiga tapo
ati form tu ni tapo tapo tapo

anakata ni ka anataka
ju enyewe kameiva ni kasupa ni ka yeza
yeza mi stambui ka mvuvi namvua vua
ukidai ni kwa kiti ama meza meza

nakapeleka mbanyu tunaanza kuzitoka
ju nimeomoka lazima k*mochoka
kanapiga magoti ni ka kameokoka
daktari mitishamba nakatibu nyoka

na mi siwezi kubali kukataa
ukikam thru’ nikurollie kindom
niku njing’ njeng’ njuu
ukicover the face, me nafire the base
haaa, masaa ni ya waitane

ile time niko jing’ me nafeel kama king
hakuna cha udoctor mi ndio ring ding
kadem kanasukwa anaringa anatepwa
anajipa anatekwa anaseswa anatokwa

anatekwa anaseswa anatokwa

tapo tapo tapo
ka hayuko rada apigwe tapo
ni mtu wako w*ngu wa kando
ukilalisha bana napita nako

akijilegeza unapiga tapo
unakapoteza unapiga tapo
ukishateleza unapiga tapo
ati form tu ni tapo tapo tapo

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...