lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu unatamani – at

Loading...

[chorus:]
unatamani
unatamani
upendane na mimi
unatamani
unatamani
haiwezekani
unatamani
unatamani
upendane na mimi
unatamani
unatamani
haiwezekani
[post*chorus:]
weleh ile; ile leh…
kwako nitafute nini?
weleh ile; ile leh…
mimi na w*ngu nyumbani
weleh ile; ile leh…
kwako nitafute nini?
weleh ile; ile leh…
mimi na w*ngu nyumbani

[verse 1:]
(?)tabia mbaya ile uliyo jaliwa na pia uwe na haya acha kunichafulia
(?) tabia mbaya ile uliyo jaliwa na pia uwe na haya acha kunichafulia
ki vyangu vyangu naendelea endelea
mafanikio yangu ruhusa kuyachukia
ki vyangu vyangu naendelеa endelea
mafanikio yangu ruhusa kuyachukia

[hook:]
nilidhani dogo k*mbе jitu zima lataka muhogo na wala n*z* hakuna
nilidhani dogo k*mbe jitu zima lataka muhogo na wala n*z* hakuna

unalotaka unalotaka mbona halikuwa
umenikosa umenikosa nini umeambulia
unalotaka unalotaka wala halikuwa
umenikosa umenikosa nini umeambulia
[chorus:]
unatamani
unatamani
upendane na mimi
unatamani
unatamani
haiwezekani
unatamani
unatamani
upendane na mimi
unatamani
unatamani
haiwezekani

[post* chorus:]
weleh ile; ile leh…
kwako nitafute nini?
weleh ile; ile leh…
mimi na w*ngu nyumbani
weleh ile; ile leh…
kwako nitafute nini?
weleh ile; ile leh…
mimi na w*ngu nyumbani

[verse 2:]
kash*sh* zako
kash*sh* zako
usilete kw*ngu mimi
tamaa yako
tamaa yako
itafikia mwishoni
kash*sh* zako
kash*sh* zako
usilete kw*ngu mimi
tamaa yako
tamaa yako
itafikia mwishoni
pia nasoma nizijue njia maana naona wani zuilia
pia nasoma nizijue njia maana naona wani zuilia
[verse 3:]
maneno maneno mimi sipendi
wala ra*ra*ra sizichezi nakuambia ushasikia kiruka njia
maneno maneno mimi sipendi
wala ra*ra*ra sizichezi nakuambia ushasikia kiruka njia

[hook:]
unalotaka unalotaka mbona halikuwa
umenikosa umenikosa nini umeambulia
unalotaka unalotaka wala halikuwa
umenikosa umenikosa nini umeambulia

[chorus:]
unatamani
unatamani
upendane na mimi
unatamani
unatamani
haiwezekani
unatamani
unatamani
upendane na mimi
unatamani
unatamani
haiwezekani

[post* chorus:]
weleh ile; ile leh…
kwako nitafute nini?
weleh ile; ile leh…
mimi na w*ngu nyumbani
weleh ile; ile leh…
kwako nitafute nini?
weleh ile; ile leh…
mimi na w*ngu nyumbani

[hook:]
kobole mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole
kobolo mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole
we! ona joh sina kapiga na na c9 ( hey )
ona joh sina kapiga na na c9 ( hey )
we c9 ( hey )
we c9 ( hey )
we c9 ( hey )
hey
hey
hey
we c9 ( hey )
we c9 ( hey )
we c9 ( hey )
ukiokota okota usioneshe wenzio, wata kunyang’anya

[hook:]
tara tara >> taratibu
tara tara >> usijipe aibu
tara tara >> taratibu
tara tara >> unajipa adhab
tara tara >> taratibu
tara tara >> usijipe aibu
tara tara >> taratibu
tara tara >> unajipa adhabu
ardhi ina mafuta; lakini sio ya kujipaka eh
hela’

[chorus:]
unatamani
unatamani
upendane na mimi
unatamani
unatamani
haiwezekani

[post* chorus:]
weleh ile; ile leh…
kwako nitafute nini?
weleh ile; ile leh…
mimi na w*ngu nyumbani
weleh ile; ile leh…
kwako nitafute nini?
weleh ile; ile leh…
mimi na w*ngu nyumbani

[outro:]
kobole mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole
kobole mwana’ kobole

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...