lirik lagu nisamehe – barakah the prince feat. alikiba
bado nalilia upendo oooh
na moyo w-ngu na hisi niliumbwa kukupenda
ila cjui ni nn kilichonitokea
na hayakuwa malengo kuumiza roho ya mwezangu…
mi naogopa sana yote ni majaribu
bado ni yangu ridhiki moyo unasema,
naipata taabu…
usik-mbuke mabaya k-mbuka na mema,
mwanamke akipenda wee,
ujue kama nishakwenda, anaweza kujiuwa wee, ukicheza na hisia zake.
mola ninusuru wee nilichotenda si busara haikuwa kikwakee, naomba nijaribu na ya mwisho nafasi…
na nimerudi…
naomba nisamehe nifanye nn nisamehe nifanye nn kwako wee nieleze mimerudi mama…
baby unajua unajua wewe nakupenda mpaka mi sijielewi wewe i want you back am sorry baby mi sina alichopata nilikotoka baby ukiniona mashaka tele, ugomvi kutwa nzima hata na mahaba nzima siwezi nimetoroka nikakosa na maraha tele, ya kwako nimek-mbuka kudeka na kubembelezwa ninapo kasirika ole ooh ole ooh ooh mwenzako nifanye nini nisame nifanye nini kwako wee nifanye nini nielezee
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu lk › lirik lagu t – lk
- kumpulan lirik lagu frostbitt › lirik lagu cancel culture – frostbitt
- kumpulan lirik lagu bummer girl rock › lirik lagu customgrow420 – bummer girl [rock]
- kumpulan lirik lagu hazzerd › lirik lagu victim of a desperate mind – hazzerd
- kumpulan lirik lagu uki3 › lirik lagu ドラッグストア (drugstore) – uki3
- kumpulan lirik lagu nocap › lirik lagu grenade – nocap
- kumpulan lirik lagu isaac app › lirik lagu broadway exit – isaac app
- kumpulan lirik lagu ямаугли yamaugli › lirik lagu мемфис (memphis) – ямаугли (yamaugli)
- kumpulan lirik lagu sheedooo › lirik lagu pressure – sheedooo
- kumpulan lirik lagu god over money › lirik lagu us against the world – god over money