lirik lagu extended version – benvalla
ahh
kila siku mi i keep jiti
kwenye stu mi nakufa na beat
kwetu kwembe ila home hunikuti
coz mi mishe zangu nafanya kibiti
kila chimbo mi ni mwenyekiti
so ukiniona bora nipe siti
coz wahuni wanajua hata bila mtutu
ukibisha utaona mtiti
mf*koni mi sikosi kijiti so kila ukiniona napasha medula
munchies kama zote
so popote ukimuona uncle guni mwambie nimekula
mgongoni na bonge la bag
limejaa mambo flani na mulla
mi ni mngoni so nikilipa sihitaji risiti nanyoosha ka ruler
kwenye nyayo, bonge la tiki
ndani ya ndinga, bonge la chiki
ana binda kama tikitiki
na mi nikimla, bonge la kiki
anauliza kwanini madada wa mjini wananiita mzee wa mikiki?
namwambia mi striker kama samatta
bao moko siridhiki
mtoto wa kati so sina muda
ila saa za menu nipo on time
hata nikiwa na bati mi nakula bata
coz najulikana mi ni all*time
bad man, yeah mi ni all*time
mad man, yeah mi ni all*time
kama jump man, yeah mi ni all*time
toka time niko kabla ya home time
game la bongo limechange sana though marapper wengi wanatema pumba
daily drama kwenye social media wakisaka makopa na madole gumba
sijui ni promo, au sijui ni ngunga
coz kila kukicha wanasaka unyumba
wakati niko busy napanda matawi yaani mpaka wachawi wanasema ndumba
mhhhh
ndo mi motto ni pata*tumbua
wanaosema wanagundu, waulize lini wamegundua
pia waulize kwanini wanabana pua
ni maamuzi au washajua, washajua
kimenuka
ahhh
benki sicheki salio (benki sicheki salio)
madem zangu wote sifa kalio (madem zangu wote sifa kalio)
na wote hawakosi gawio (cash cash)
so kama wa kwako kanona ma brother we tega sikio au utapigwa tukio
kama umesikia, mwambie mwenzio
kama unajenga, ongeza uzio
kama unapuuza, fresh
ila baadae usije angua kilio
coz mi natabia chafu
tena ni uchafu wa kudeki, sio uchafu wa f*gio
sheikh akiniona anatimua mbio
kwaya ikiniona inaanzisha pambio
mhhhh, yeah
call me mzee wa ving′wasu
brother men toka enzi za gololi
mi sitembei na mabanju
mi ndo mzee wa vigoli ambao hawatambi na pamba za guangzhou
baller kama bolingoli, mbele ya goli mi mashuti
sirembi na kanzu
chicks wa bongo bila mpunga huli
kama hupigi pesa, we utapiga puli
hata kama we ni handsome, you wont get some
we muulize dully
though kuna wana wanapiga kibabe
na bado w*n*lala kwa mama
simu ina bundle ya siku tu
na mf*koni wana buku ya nagama
ukisikia nimekopa, ujue nacheza karata (aahh)
kama sp*cio basi ni bima
na kwetu kwembe sio tabata (skrr skrr skrr)
name a rapper whose doper, mi sidhani huenda mpata (yeah yeah yeah)
ni hawajui, au washajua, washajua
kimenuka
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu dayzu › lirik lagu choppa – dayzu
- kumpulan lirik lagu storm › lirik lagu streets – storm
- kumpulan lirik lagu the red pears › lirik lagu in my mind – the red pears
- kumpulan lirik lagu sivion › lirik lagu walking bassline – sivion
- kumpulan lirik lagu v9 › lirik lagu interlude: obt – v9
- kumpulan lirik lagu ellen loo 盧凱彤 › lirik lagu 遊樂場 (jau4 lok6 coeng4) (2012 live version) – ellen loo (盧凱彤)
- kumpulan lirik lagu blake zip › lirik lagu hype – blake.zip
- kumpulan lirik lagu cxldwrld › lirik lagu affliction after affection – cxldwrld
- kumpulan lirik lagu sabyan › lirik lagu tabassam – sabyan
- kumpulan lirik lagu c easy › lirik lagu royalty – c-easy