lirik lagu funga geti – billnass
naskia joto joto joto
naskia joto unavyokesha
mwisho saa sita ooh(saa sita)
nishapitia msoto
mpaka nimefika oooh
touch, take five now
waambie mtaa wa pili
wafunge geti(funga geti)
tunapita majangili
wafunga geti (funga geti)
waambie mtaa wa pili
wafunge geti (funga geti)
tunapita majangili
wafunga geti (funga geti)
mnaojiita wakali, kiukali mnapimwa vipi
nataka sigara kali mif*koni una viberiti
mtaani waya kali, viwaya nitavuta vipi
d*d*d*dadako ananiita continenti
kwenye nchi za kutosha
maiti wanakosa coffin eeh
kama buchi lililo choka
aah n*z*oana chuki tu na sio upinzani
ukitaka kujua burudani
muulize dem wako anajua navaa boxer gani
bado mna chuki kwani?
na mwaka huu mtavaa chupi vichwani
pakua mangoma bila start duble duble
nashangaa mzozwa nani?
kusema nenga kivuruge
nimekuwa baba now
nimekuwa baba lao
siku hizi nachukiwa mpaka waganga wao
nimekuwa stori kwao
zaidi zaidi yao
kunichukia kwaiva pressure tu miili yao
w*n*lenga ni kama nenga(nafanya miracle)
waambie wanaopinga, wazidi overdose
w*n*lenga ni kama nenga
waambie wanao pinga
w*n*lеnga ni kama nenga
waambie wanao pinga
waambie mtaa wa pili
wafungе geti(funga geti)
tunapita majangili
wafunga geti (funga geti)
waambie mtaa wa pili
wafunge geti (funga geti)
tunapita majangili
wafunga geti (funga geti)
na roundi hii babako
lazima tuheshimiane
leo mhuni nimekutana na teke la vandame
mpira pass ndo siri ya ushindi
na slide kwenye nyasi
imechana mkeka wa mhindi
si mliandaa mipango
kaandaa migambo
kaandaa mitambo na bado mkatoa matango
sasa mtaandaa mapango, tandaa mabango
nasajili ng’ambo mtacheza chini ya kiw*ngo
na bado tuta hesabu diary
na dose ndo hii nawapa(kwa stress)
tutasonga ugali of course kwa maji ya bata
na nitawahanyari wauza papa
walinitupa kwa bahari
nifilie mbali na narudi na samaki nawapa
si mlikuwa mnakula bati
me nakula kigae
nyi watoto wa mto wa kati
ndo napita mjiandae
eti unaniombea mauti
si bora usalie kunuti
mnavunja n*z* my foot
bado hamnikuti
wanaroma ni kama roma nafanya miracle
waambie wanaochoma wasiji overdose
wanaroma ni kama roma(hee hee)
waambie wanaochoma(hee hee)
mbomba ni kama roma(hee hee)
waambie wanaochoma
waambie mtaa wa pili
wafunge geti(funga geti)
tunapita majangili
wafunga geti (funga geti)
waambie mtaa wa pili
wafunge geti (funga geti)
tunapita majangili
wafunga geti (funga geti)
moto moto…
naskia joto unavyokesha
mwisho saa sita ooh(saa sita)
nishapitia msoto
mpaka nimefika oooh
joe, take five now
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu defmatch › lirik lagu monster or man – defmatch
- kumpulan lirik lagu ariel camacho la tuyia › lirik lagu el mero mero – ariel camacho la tuyia
- kumpulan lirik lagu graeme miller › lirik lagu dog eared – graeme miller
- kumpulan lirik lagu 재하 jaeha › lirik lagu droptop – 재하 (jaeha)
- kumpulan lirik lagu vvs mani › lirik lagu link – vvs mani
- kumpulan lirik lagu mindslip › lirik lagu broken picture frames – mindslip
- kumpulan lirik lagu jun k › lirik lagu ms. no time (korean ver.) – jun. k
- kumpulan lirik lagu da bubble gum brothers › lirik lagu chopstick soul – da bubble gum brothers
- kumpulan lirik lagu morten › lirik lagu mein hals – morten
- kumpulan lirik lagu meech vb › lirik lagu dey controlling da hype – meech vb