lirik lagu kuna siku – bony kichaa
song:kuna siku
artist:bony kichaa
verse:1
kuna siku naamka me nawaza
mf-koni sina kitu mimi tumbo halijasaza
navumilimia mateso nanyamaza
najua napata kesho najikaza
kuna siku niko far,sina car
ya kurudi ninapokaa,nina njaa
kuna siku nina chapaa
nakunywa nalewa sometime nalala bar
naponda raha
watoto home w-n-lala njaa
kuna nayamiss maisha ya mtaa
kuna siku natamani nisichoweza kuwa nacho
nakula kwa macho
napanga mipango
sikati tamaa najua ugumu n mwanzo
mimi n-z-di kuhursle
kuna siku natamani mimi niwe na kw-ngu
niwe na changu
niwe na gari yangu nmechoka matatoo
kuna siku natamani kujichora matatoo
kuna siku napata kuna siku nakosa
toka nmekua kuna mengi nmeona
mungu nisamehe kuna siku nmepora
kuna siku natamani natenda dhambi natubu
sitaki maneno naamua nakua bubu
maisha yanakuwa magumu nahisi nmepigwa juju
nataka sipati,tamaa sikati
mashaka zake nyakati
kuna siku!
natizama photo
msoto unafanya nitamani utoto
kuna siku!
mimi tajiri wa ndoto
njaa inafanya nik-mbuke kiporo
kuna siku!
nayawaza mapenzi
namuwaza mpenzi mpenzi wa enzi
silali nakesha
hayo yote kisa ni mawazo yapesa
mawazo ya keja
yananipa hope kuna siku nitajenga
kuna siku!
nak-mbuka marafiki walio r.i.p
naamini kuna siku watakuwa na mimi
{bridge}
kuna sikuuu!!!!!!kuna siiiiiku kuna siku
aaaaaahhhh!!!!!
natizama mbinguni namuona mungu baba
{repetion}
kuna siku naamka me nawaza
mf-koni sina kitu mimi tumbo halijasaza
navumilimia mateso nanyamaza
najua napata kesho najikaza
kuna siku niko far,sina car
ya kurudi ninapokaa,nina njaa
kuna siku nina chapaa
nakunywa nalewa sometime nalala bar
naponda raha
watoto home w-n-lala njaa
kuna nayamiss maisha ya mtaa
kuna siku natamani nisichoweza kuwa nacho
nakula kwa macho
napanga mipango
sikati tamaa najua ugumu n mwanzo
mimi n-z-di kuhursle
kuna siku natamani mimi niwe na kw-ngu
niwe na changu
niwe na gari yangu nmechoka matatoo
kuna siku natamani kujichora matatoo
kuna siku napata kuna siku nakosa
toka nmekua kuna mengi nmeona
mungu nisamehe kuna siku nmepora
kuna siku natamani natenda dhambi natubu
sitaki maneno naamua nakua bubu
maisha yanakuwa magumu nahisi nmepigwa juju
nataka sipati,tamaa sikati
mashaka zake nyakati
kuna siku!
natizama photo
msoto unafanya nitamani utoto
kuna siku!
mimi tajiri wa ndoto
njaa inafanya nik-mbuke kiporo
kuna siku!
nayawaza mapenzi
namuwaza mpenzi mpenzi wa enzi
silali nakesha
hayo yote kisa ni mawazo yapesa
mawazo ya keja
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu 9192 › lirik lagu paradise – 9192
- kumpulan lirik lagu frontier ruckus › lirik lagu ontario – frontier ruckus
- kumpulan lirik lagu nino bless › lirik lagu on my own – nino bless
- kumpulan lirik lagu kopecky › lirik lagu heartbeat – kopecky
- kumpulan lirik lagu m a p › lirik lagu balle populaire – m.a.p
- kumpulan lirik lagu 207 thugs › lirik lagu hootie mack – 207 thugs
- kumpulan lirik lagu luke davis › lirik lagu 11.1. sampling and drum machines – luke davis
- kumpulan lirik lagu blake anthony › lirik lagu ziploc (ft. yodi mac) – blake anthony
- kumpulan lirik lagu punsy › lirik lagu i should rap about – punsy
- kumpulan lirik lagu mary mesk › lirik lagu doce veneno – mary mesk