lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu you – bruce africa

Loading...

[intro]
yeah
bruce africa pon this again
baby, yeah

[verse 1]
imenifika kwa koo
inanibidi niseme, ndipo nipone, yeah
pale ulipo baby, nipe location nisogee
nije nikuone
ikishindikana basi, nitumie video zako za snapchat
you know i like that
nimek*missi sana macho yakutaka
video calls hata, mda ukipata
nitafurahi nikikuona mwana*dada
[chorus]
you’re my angel, my queen
unachotaka mi’ sikatai
juu ni upendo my dear
unaonipa mi’ sikinai
ooh, angel, my queen
unachotaka mi sikatai
juu ni upendo my dear
unaonipa mi’ sikinai
i miss you, ayy*ayy
nak*missi vibaya d*mn, yeah
i miss you, baby, yeah
nak*missi vibaya d*mn
oh yeah

[instrumental break]

[verse 2]
utani utani wako na michezo hunikosha
fanya urudi upweke, unanitesa baby
uwepo wako kw*ngu unanitosha
baby, do you miss me?
ah*ooh mimi, baby, huk*miss daily, yeah, daily
i’m so crazy yeah
for your love, i’m crazy
baby, nak*missi daily, yeah, daily, daily
[chorus]
you’re my angel, my queen
unachotaka mi’ sikatai
juu ni upendo my dear
unaonipa mi’ sikinai
ooh, angel, my queen
unachotaka mi sikatai
juu ni upendo my dear
unaonipa mi’ sikinai
i miss you, ayy*ayy
nak*missi vibaya d*mn, yeah
i miss you, baby, yeah
nak*missi vibaya d*mn, oh yeah

[outro]
your my angel, my queen
unachotaka mi’ sikatai
juu ni upendo my dear
unaonipa mi’ sikinai

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...