lirik lagu raia – daz baba
[intro]
yeah
peace, love and harmony, huh
dar*es*salaama
daz nundaz
(raia)
daz baba
(mo ? )
yeah, yeah
[chorus]
itanibidi kufanya vyovyote vile ninavyojua
ila mbele ya dola siwazi kuvunja sheria
ili kuepuka maisha ya patapotea
nitatumia kipaji kama raia
nitafanya vyovyote vile ninavyojua
ila mbele ya dola siwazi kuvunja sheria
ili kuepuka maisha ya patapotea
nitatumia kipaji kama raia
[verse 1: daz baba]
moyo w*ngu una madonda
wadau njooni mnione
mje na ridhiki yangu kama dawa ili nipone
matatizo na mimi, kwanini na matatizo?
kutwa hekaheka sina hata cha likizo, na*
nuksi, mikosi (?) mfululizo
na wenye chuki na mimi w*n*leta hizi na hizo
mithili ya maigizo tena yenye vitimbi
bongo maji ya shingo ‘yale yenye mawimbi
asa unaona wanatufanya sisi mapimbi
anakupa kesi kisha anakudai masimbi, na*
kama hauna sas’ washa koroboi
anavyo taka rushwa kama vile anakudai
moyoni mw*ngu mi nakosa kabisa upendo
nikitazama kila kona ni magendo, magendo…
[chorus]
itanibidi kufanya vyovyote vile ninavyojua
ila mbele ya dola siwazi kuvunja sheria
ili kuepuka maisha ya patapotea
nitatumia kipaji kama raia
nitafanya vyovyote vile ninavyojua
ila mbele ya dola siwazi kuvunja sheria
ili kuepuka maisha ya patapotea
nitatumia kipaji kama raia
[bridge]
raia
mtanzania
sikia, kipaji kinateketea
raia, (daz nundaz, daz baba)
mtanzania, (m? na* yeah, yeah, yeah)
sikia, watu tunateketea
[verse 2: critic]
nataabika nimechoka kichizi ‘ile kichizi
mgaagaa na upwa ‘riziki yangu iliyo tupwa
na haa haa na ganga ganga njaa
ili mradi
nijipatie mafanikio yenye maendeleo
lije kufaidika taifa langu la kesho, na la leo
nifanye music biashara, isiwe*
aaaah
…
nisiwe kama bendera ifuatayo upepo
nifanye music biashara iniletee hayo malipo
yeah
yeah
uh, yeah…
[chorus]
itanibidi kufanya vyovyote vile ninavyojua
ila mbele ya dola siwazi kuvunja sheria
ili kuepuka maisha ya patapotea
nitatumia kipaji kama raia
nitafanya vyovyote vile ninavyojua
ila mbele ya dola siwazi kuvunja sheria
ili kuepuka maisha ya patapotea
nitatumia kipaji kama raia
[verse 3: daz baba]
ona, ona
vijana wahangaikaji ndio wanakamatwa wazururaji, na*
wenye vipaji hawana tena uthamani
zaidi ya kukamatwa na kuwekwa hatiani
kifo ‘tembea nacho ubavuni
magonjwa, dhiki na njaa vimetukalia kooni
nalalama yanayo nipasa kusema
kukosa ajira kama raia itaniuma…
aaaah
aaaah
aaaah
aaaah
aaaah
aaaah
aaaah
aaaah
[chorus]
itanibidi kufanya vyovyote vile ninavyojua
ila mbele ya dola siwazi kuvunja sheria
ili kuepuka maisha ya patapotea
nitatumia kipaji kama raia
nitafanya vyovyote vile ninavyojua
ila mbele ya dola siwazi kuvunja sheria
ili kuepuka maisha ya patapotea
nitatumia kipaji kama raia
(instrumentals)
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu los aptos › lirik lagu “corrido” – los aptos
- kumpulan lirik lagu kleix › lirik lagu no se que paso – kleix
- kumpulan lirik lagu volodymyr dantes › lirik lagu саша – volodymyr dantes
- kumpulan lirik lagu three man down › lirik lagu 28 – three man down
- kumpulan lirik lagu dot valentino › lirik lagu il mio mestiere – dot valentino
- kumpulan lirik lagu tents › lirik lagu mrs blue – tents
- kumpulan lirik lagu tutty frutty boys › lirik lagu братаннн (bro) – tutty-frutty boys
- kumpulan lirik lagu elapid › lirik lagu kes cheats!!! (kesk pt. 3) – elapid
- kumpulan lirik lagu september mourning › lirik lagu shiver – september mourning
- kumpulan lirik lagu jollo › lirik lagu мегалодон (megalodon) – jollo