lirik lagu nalia na mengi – diamond platnumz
me niliambiwa mapenzi ni kama bahari
ukishazama ndo basi umepotea
k*mbe mwenzangu alikuwa na tanari
badala ya kuzama me kw*ngu akaelea
akawa ananidanganya
nikiwa nadhani ananipenda sana
mikwanja nikamwaga mama
j*po sio kivile la kuongea manaa
wakawa ananidanganya
nikiwa nadhani ananipenda sana
mbona mifedha nikamwaga mama
j*po sio kivile la kuambiwa maana
wakaja wajinga wakamchukua
wakamhonga honga mwisho wakamnunua
wajinga wakamchukua
wakamhonga honga mwisho wakamnunua (ayayayayaaaa)
usinione nalia (rraa), usinione nalia (rraa), mwenzenu nalia na mengi
usinione nalia (rraa), nalia (rraa), sababu ya mapenzi
mwenzenu nalia (rraa), nalia (rraa), nalia na mengi
(uuuh) jamani nalia (rraa), nalia (rraa), sababu ya mapenzi
najua alimaanisha kuwa simfai ila lakini angesema
kuliko alichofanya me akantoa nishai akanimeza akanitema
nyie mapenzi yanauma vibaya, vibaya, vibaya
mmmh mapenzi yanauma vibaya, vibaya, vibaya
ile ghafla safari
ndio inanifanya mi usingizi sipati
huwa nak*mbuka mbali
hasa nikisikia harufu yake ya marashi
me kwa uchungu nilivyoumia
nikaandika hili songi la mwanduku nalia
na vocal nikaingiza kwa hisia
naimani iko siku nyimbo itamfikia
me kwa uchungu nilivyoumia mie
nikaandika songi la mwanduku nalia
na vocal nikaingiza kwa hisia
naimani ipo siku nyimbo itamfikia (ayayayaaaa)
usinione nalia (rraa), usinione nalia (rraa), mwenzenu nalia na mengi
usinione nalia (rraa), nalia (rraa), sababu ya mapenzi
mwenzenu nalia (rraa), nalia (rraa), nalia na mengi
(uuuh) jamani nalia (rraa), nalia (rraa), sababu ya mapenzi
usione nakosa raha mama nalalama kwako mara kadhaa
we ni msaada kwenye tuta so ukich0m*ka balaa
sijiwezi kw*ngu giza naweza kimbiza na hii taa
na hilo unajua inavyoumiza ushashuhudia mara kadhaa
we ndo urithi wakung’ang’anie ninung’unike nilie
njia yetu moja niache nipite suka usinibanie
kwa mahaba ya kinyamwezi na swaga zako juu
na miguu napata picha kitandani kungfu
uko juu ukipita lazima wasome namba
we ndo kibri fimbo kiboko ya midomo mamba
huu ndo mfano hata unajua neno pamba sifa yake
kwa kitambo ntakulinda kama mkinga mwenye shamba
mikogo kila leo ntajigamba nusu soldier nusu mpweke
kisela piga teke inauma
usiombe mapenzi yakupige teke inauma
usiombe mapenzi yakupige teke eeeh bounce
usinione nalia (rraa), usinione nalia (rraa), mwenzenu nalia na mengi
usinione nalia (rraa), nalia (rraa), sababu ya mapenzi
mwenzenu nalia (rraa), nalia (rraa), nalia na mengi
(uuuh) jamani nalia (rraa), nalia (rraa), sababu ya mapenzi
aaahaaaaa aaaaaahaaa aaahaaaaa
uuuuuubuuhhuuuu aaaaaaaa aaaaaaaa aaaaa
kikijiiiii liikikikkiiiii
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu walt disney records › lirik lagu o voltogo – walt disney records
- kumpulan lirik lagu lil wayne › lirik lagu ain’t i – lil wayne
- kumpulan lirik lagu james barre › lirik lagu this means war – james barre
- kumpulan lirik lagu methuzulah › lirik lagu pay homage – methuzulah
- kumpulan lirik lagu blaise boyd › lirik lagu v. heroin(e) – blaise boyd
- kumpulan lirik lagu u n l v › lirik lagu local 580 – u.n.l.v.
- kumpulan lirik lagu yung i v › lirik lagu freedom – yung i.v.
- kumpulan lirik lagu heath mcnease › lirik lagu mcnasty! – heath mcnease
- kumpulan lirik lagu king of heck › lirik lagu far – king of heck
- kumpulan lirik lagu el pega pega de emilio reyna › lirik lagu frankestein – el pega pega de emilio reyna