lirik lagu nitarejea – diamond platnumz
[intro: diamond platnumz]
ah ah ah…
[verse 1: diamond platnumz]
vipi mizigo umeshaweka tayari
mmmh, ah ah
sijechelewa nkaachwa na gari
mmmh, ah ah
basi jikaze usilie mpenzi
ah ah ah
mi nitarudi niombee kwa mwenyezi
ah ah ah
zile taabu na njaa
msimu mzima mavuno hakuna
huwa nakosa raha
pale mkikosa cha kutafuna
roho yangu inauma
sema ntafanya nini
na pesa sina
nakuonea na huruma
bora niende mjini
kusaka tumaa
[chorus: diamond platnumz]
kama watoto wakinililia (kama)
waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
wadanganye na vibagia (wadanganye)
waambie pipi ntawaletea (ntawaletea mama)
kama watoto wakinililia (kama)
waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
nawe usichoke kuvumilia (usichoke)
na kila siku kuniombea (nirude salama)
[verse 2: hawa & diamond platnumz]
wanajua kwamba nafsi na roho
vitakuwa na wasiwasi…
uk*mbuke na moyo
utajawa na simanzi…
ntakapokuwa nakwenda shambani
afu niko peke yangu honey
ntapokuja kuwa na majirani nitaumia
ah ah ah…
pale napotoka kisimani (ah ah)
ama nipo na kuni kichwani (ah ah)
sina wakunitua nyumbani nitalia
maneno yako yananfanya nakosa raha
na mawazo
hata mwenzako sijawahi kufika dar
huu ndio mwanzo
vile nakwenda na sijui pa kukaa
wala mavasi, oh oh
we niombee niepushwe na balaa
na maradhi, oh oh
eh eh
[chorus: diamond platnumz]
kama watoto wakinililia (kama)
waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
wadanganye na vibagia (wadanganye)
waambie pipi ntawaletea (ntawaletea mama)
kama watoto wakinililia (kama)
waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
nawe usichoke kuvumilia (usichoke)
na kila siku kuniombea (nirude salama)
[bridge: hawa & diamond platnumz]
unapokwenda kama ukifika salama
utuk*mbuke na sisi
usisahau kama mkeo na wana
umetuacha na dhiki
vile usijali ila naomba chunga sana
ogopa na marafiki
wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama
waambie sidanganyiki
unapokwenda kama ukifika salama
utuk*mbuke na sisi
usisahau kama mkeo na wana
umetuacha na dhiki
vile usijali ila naomba chunga sana
ogopa na marafiki
wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama
waambie sidanganyiki
eh eh
[interlude: diamond platnumz]
nitrarejea mama
niombee nirude salama
oh, watoto wadanganye
hii…
ooh ooh ooh, oh oh
tusale
usijali
hmm, kama…
[chorus: diamond platnumz]
kama watoto wakinililia (kama)
waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
wadanganye na vibagia (wadanganye)
waambie pipi ntawaletea (ntawaletea mama)
kama watoto wakinililia (kama)
waambie kesho nitarejea (nitarejea mama)
nawe usichoke kuvumilia (usichoke)
na kila siku kuniombea (nirude salama)
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu prateek kuhad › lirik lagu co2 – prateek kuhad
- kumpulan lirik lagu diah safitri › lirik lagu pamit – diah safitri
- kumpulan lirik lagu paywall › lirik lagu scam freestyle – paywall
- kumpulan lirik lagu horse meat disco kathy sledge › lirik lagu jump into the light – horse meat disco & kathy sledge
- kumpulan lirik lagu art schop › lirik lagu my first goose – art schop
- kumpulan lirik lagu sidney phillips chazaiya › lirik lagu ak-47 – sidney phillips & chazaiya
- kumpulan lirik lagu young koa › lirik lagu chocolate – young koa
- kumpulan lirik lagu lil culture › lirik lagu birthday bash – lil culture
- kumpulan lirik lagu lil bam up › lirik lagu waiting on you – lil bam-up
- kumpulan lirik lagu itsukisfuneral › lirik lagu why do i care? – itsukisfuneral