
arciah anyanga wangara - don santo lyrics
Loading...
stanza one
kama kuna mtu mwema, si mwengine;
ila wewe arciah eh w*ngara;
na mipango ya mola ni mengine;
na sasa upo ahera ah mama
ulicheza santo, franco sawa na kidum
ulinilea nikiwa sijifahamu mama rabin;
tunakukosa oh sana ooooh!
prayer
raha ya milele umpe ariciah anyanga w*ngara, ee bwana, na mw*nga wa milele umuangazie
roho yake na roho za marehemu wote kwa rehema za mwenyezi mungu zipumzike kwa amani. amina
stanza two
kama kuna mtu mwema, si mwengine;
ila wewe arciah eh anyanga;
na mipango ya mola ni mengine;
na sasa upo ahera ah mama
ulikuwa na moyo wa malaika;
ulitulea wengi oh mama aaliyah;
tunakukosa oh sana ooooh!
Random Song Lyrics :
- buscando un final - ilona lyrics
- elliot - jeffrey gaines lyrics
- bang bang bang - eilen jewell lyrics
- amplitude - jimi lucid lyrics
- no sé - david lebón lyrics
- deus, o mar e eu - canção & louvor lyrics
- autumn years - bart kobain lyrics
- diss na eminema - 2np lyrics
- mulabitch! - kidlovo lyrics
- fast car (remix) - yung cortex lyrics