lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu nakuja – drama boi

Loading...

bongo

mjomba bongo ni nyoso weh eh

ngoja tukahakikishe

huko hakuna michosho weh
twende tuka wajibike eh

mie mie mie
nitakwenda kivyangu
j*po ni pekeyangu
staki watu majungu (mie)

binadamu ni cheche (cheche)
acha niteme mate (mate)
staki shida inirudie (iye)
naomba jah anitetee (tetee)
mama alisema

sikia sikia
mwanangu sikia
hii dunia dunia
nakupa huu husia

kama usipo jifundisha
ulimwengu utakuonyesha
i’m praying for you don’t mess up
get ready now now not later

mjomba bongo ni nyoso weh eh
ngoja tukahakikishe

huko hakuna michosho weh
twende tuka wajibike eh

kila nikiamka asubuhi niko race (niko race)
me i hustle every day more money i’ll go make (i’ll make)

huko napo ni patamu kama nikipata bingo
j*po wengi wanaozea huko segerea kekoo

sikia sikia
mwanangu sikia
hii dunia dunia
nakupa huu husia

kama usipo jifundisha
ulimwengu utakuonyesha
i’m praying for you
don’t mess up
get ready now now
not later

mjomba bongo ni nyoso weh eh
ngoja tukahakikishe (tukahakikishe eh tukahakikishe)

huko hakuna michosho weh
twende tuka wajibike eh (oh nana oh nana oh nana)

mjomba bongo ni nyoso weh eh
ngoja tukahakikishe

huko hakuna michosho weh (michosho michosho eeh michosho)
twende tuka wajibike eh (twende tukawajibike oh ooh owyeh)

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...