lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu niache – ebebé jamal

Loading...

“niache”
brother naomba niache “niache”
niache “niache”
brother naomba niache “niache”
niache “niache”
brother naomba niache “niache”
niache “niache”
aisee yeah “niache”

pisi kali imenielewa ukaniona nimeondoka nayo
ila hujui kilichotokea brother niache, “niache”
sio lazima usimulie kama uliona inatosha,
usinichoshe sinto kuchosha brother niache, “niache”
sasa ndio unifokee
kisa umepiga simu alafu sipokei
au ume umeweka appointment alafu nikadelay
na nikiwa busy je? niache yangu nifate yako bro “niache”
hawajui nilivyopania kwenye njia mimi nina nia
sasa kwanini wananizuia alafu waniache “niache”
nikiwa race mtaani, naangaikia msosi mezani
usiniingile nitakukwaza brother niache

haters wanasema ninajidai
kila ninapotimba pande zao hawafurahi
my feelings na hizi shauzi zipo high
kwa ninavyowasomba somba wanatamani mnyamwezi nidie
nidie nidie wanatamani mnyamwezi nidie
nidie..? wakati ninadai na na n*z*di kurolll the dice
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”

aise niaje, aise niaje
ona mna maneno yanachoma zaidi ya miale
aisee mniache, aise mniache

nishakanyaga mafuta speed zaidi ya ferari
wala hamunipati, bisha munifate
wanaonilinda wote wanaijua karate
mpaka mnipate, brother mjipange
tagi ninalo serikali kila upande
mguu usawa baada ya mguu upande
mpira ninao siuachi kama zidane
wanangu wanavibegi vina vitu fulani
na wote wanatusua aisee labda muwabanie

haters wanasema ninajidai
kila ninapotimba pande zao hawafurahi
my feelings na hizi shauzi zipo high
kwa ninavyowasomba somba wanatamani mnyamwezi nidie
nidie nidie wanatamani mnyamwezi nidie
nidie..? wakati ninadai na na n*z*di kurolll the dice
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache”
“niache” “niache

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...