
hapo zamani - elani lyrics
[verse 1: wambizzy]
rauka jamaa, k-mekucha
miaka k-mi na sita, kidato cha kwanza
pokea salam, siku mpya
insyder za kwanza, zasifiwa boma
kaipokea tetesi, mwaja shule ni wikendi
barua uliyoituma imeshasoma na
sijaweza kupumua, moyo wangu waridhika
sijaweza kupumua
[hook]
hapo zamani nikajua ningekuoa
hapo zamani ukiambiwa
unapendwa, waamini
ukipendwa, una imani
[verse 2: maureen]
nilikuwaza sana michana kutwa
wewe suk-ma mimi ugali wishwa
na tulipendana kinyama
nikaipokea tetesi, una mwingine
akula mishikaki, aishiye kifahari
mi sikuweza kupumua, moyo wangu kavunjika
sikuweza kupumua
[hook]
[verse 3: brian chweya]
sikujua, miaka k-mi na sita
siyo miaka, ya kuelewa dunia
sikujua, miaka k-mi na sita
siyo miaka, ya kuelewa mahaba
woyoooo
woyoooo
[hook]
Random Song Lyrics :
- rainbow road - tm47 lyrics
- brand new cash 2 - lifelessgarments lyrics
- muse - it's yona lyrics
- jackie got married - nerf herder lyrics
- ghost to ghost - gardenhead (finland) lyrics
- natalie don’t (ps1 remix) - raye lyrics
- lost cause - morgue (rapper) lyrics
- rise above - cusboi lyrics
- holod ii - скубут (skubut) lyrics
- position - nedanie lyrics