lirik lagu hapo zamani – elani
[verse 1: wambizzy]
rauka jamaa, k-mekucha
miaka k-mi na sita, kidato cha kwanza
pokea salam, siku mpya
insyder za kwanza, zasifiwa boma
kaipokea tetesi, mwaja shule ni wikendi
barua uliyoituma imeshasoma na
sijaweza kupumua, moyo wangu waridhika
sijaweza kupumua
[hook]
hapo zamani nikajua ningekuoa
hapo zamani ukiambiwa
unapendwa, waamini
ukipendwa, una imani
[verse 2: maureen]
nilikuwaza sana michana kutwa
wewe suk-ma mimi ugali wishwa
na tulipendana kinyama
nikaipokea tetesi, una mwingine
akula mishikaki, aishiye kifahari
mi sikuweza kupumua, moyo wangu kavunjika
sikuweza kupumua
[hook]
[verse 3: brian chweya]
sikujua, miaka k-mi na sita
siyo miaka, ya kuelewa dunia
sikujua, miaka k-mi na sita
siyo miaka, ya kuelewa mahaba
woyoooo
woyoooo
[hook]
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu unknxwn › lirik lagu i’ll be gone too – unknxwn
- kumpulan lirik lagu octave › lirik lagu daste ma nist – octave
- kumpulan lirik lagu almanac › lirik lagu regicide – almanac
- kumpulan lirik lagu olivia nelson › lirik lagu back when – olivia nelson
- kumpulan lirik lagu intocable › lirik lagu callada – intocable
- kumpulan lirik lagu jayisdead › lirik lagu disconnected – jayisdead
- kumpulan lirik lagu deeyou › lirik lagu dancer – deeyou
- kumpulan lirik lagu dtresean › lirik lagu parachute – dtresean
- kumpulan lirik lagu rrevan › lirik lagu herboyfriendjealous – rrevan
- kumpulan lirik lagu jesus christ superstar cast › lirik lagu hosanna – jesus christ superstar cast