
daima - eric wainaina lyrics
[mstari 1]
umoja ni fahari yetu
undugu ndio nguvu
chuki na ukabila
hatutaki hata kamwe
lazima tuungane, tuijenge nchi yetu
pasiwe hata mmoja
anaetenganisha
[chorus]
naishi, natumaini
najitolea daima kenya
hakika ya bendera
ni uthabiti w-ngu
nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo
[mstari 2]
kwa uchungu na mateso
kwa vilio na uzuni
tulinyakuliwa uhuru
na mashujaa wa zamani
hawakushtushwa na risasi
au kufungwa gerezani
nia yao ukombozi kuvunja pingu za ukoloni
[chorus]
naishi, natumaini
najitolea daima kenya
hakika ya bendera
ni uthabiti w-ngu
nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo
[daraja]
wajibu wetu
ni kuishi kwa upendo
kutoka ziwa mpaka pwani
kaskazini na kusini
[solo]
[chorus]
naishi, natumaini
najitolea daima kenya
hakika ya bendera
ni uthabiti w-ngu
nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo
[mwisho]
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo
Random Song Lyrics :
- cicoria twist - domenico modugno lyrics
- shangri la - gary corben lyrics
- the bomb threat - daphne blake & the head lyrics
- looks good - rob flo lyrics
- ezilir dünya ayaklarının altında - ikiye on kala lyrics
- guru - hasan lyrics
- queen shit - theinfamousish lyrics
- lobo - daegho lyrics
- vestiglo - replik lyrics
- piou - rap box lyrics