lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu daima – eric wainaina

Loading...

[mstari 1]

umoja ni fahari yetu
undugu ndio nguvu
chuki na ukabila
hatutaki hata kamwe
lazima tuungane, tuijenge nchi yetu
pasiwe hata mmoja
anaetenganisha

[chorus]

naishi, natumaini
najitolea daima kenya
hakika ya bendera
ni uthabiti w-ngu
nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo

[mstari 2]

kwa uchungu na mateso
kwa vilio na uzuni
tulinyakuliwa uhuru
na mashujaa wa zamani
hawakushtushwa na risasi
au kufungwa gerezani
nia yao ukombozi kuvunja pingu za ukoloni

[chorus]

naishi, natumaini
najitolea daima kenya
hakika ya bendera
ni uthabiti w-ngu
nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo

[daraja]

wajibu wetu
ni kuishi kwa upendo
kutoka ziwa mpaka pwani
kaskazini na kusini

[solo]

[chorus]

naishi, natumaini
najitolea daima kenya
hakika ya bendera
ni uthabiti w-ngu
nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo

[mwisho]

kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
daima mimi mkenya
mwananchi mzalendo

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...