lirik lagu ole chizza – fid q
[verse 1: fid q]
palipo moshi pana moto, cheki shisha/
hapatoshi kwa huo mtoko, feki pisha/
naona pochi yenye noti hauwezi shika/
usinichoshe mi ni boss, mechi kwisha/
na ka ni rose rose nita graph bish/
nikilenga shot sikosi, uta-survive vipi??/
naenda mosi mosi sio kwa kasi bish/
sina low stock, simpi chance snitch/
sikuwa na p-ssport wala p-ssword/
au pin lakini mjini nika-crack code/
unataka kuwa mimi?? ahh.. basi foji/
hauna code, piga chini naitwa land lord/
hakuna mganga zaidi ya mungu, acheni ushamba washkaji/
msijitie gundu, kuweni wapambanaji/
kaza kamba, uweze kuwa in charge/
kenge hawi mamba,kwa kukesha ndani ya maji/
[hook: rosa ree & fid q]
ukiwa hey bebe hauwezi hustle ka mimi/
hauwezi we kuwa mi we kaa chini/
anhaa! mzee sifumbi macho usingizini/
vya bei ya chee we kaa navyo mi vya nini?/
ole x4 chizza x4
ole x4 chizza x4
[verse 2: fid q]
mi sijikwezi acha ukaksi, boss/
ukiona sipendezi rusha basi pochi/
mambo, yote kwa soksi/
dudu bongo du kinaa mzaa huzaa mkosi/
umaskini sio dhambi, j-po sio jambo jema/
haupati manzi ukiwa hauna jambo, yaani ndio basi tena/
[hook: rosa ree]
mi ni mjeshi, kwenda race sioni kesi kid/
bila cash, hauwi freshi hauiwezi league/
[verse 3: fid q]
baby girl, unahitaji kuni please, nataka nile shot kama kennedy/
uko na desperate disease, na mimi ndio ile dangerous remedy/
laana sij-pewa, kutwa ninaombewa na mama/
ukinipa mihadi hewa, mi nachukua hatua chanya/
na sijawahi jivika umasihi/
makuzi hayafai ndio maana baba wa taifa alificha cv/
[hook: rosa ree & fid q]
ukiwa hey bebe hauwezi hustle ka mimi/
hauwezi we kuwa mi kaa chini/
anhaa! mzee sifumbi macho usingizini/
vya bei ya chee we kaa navyo mi vya nini?/
ole x4 chizza x4
ole x4 chizza x4
[verse 3: fid q]
er day, they ask how am doing/
nawauliza kwenda kasi nyie hamjui?/
hamkui?? hamkui kui, dafu hamfui/
gamba nyeupe na nyeusi kama chui/
[hook: rosa ree]
fresh after death, mi ndio king wa ma queen/
you better take a bow, whenever i’m coming in/
hata wakisema mi n-z-di tu kuwin/
wana hate the stage, hawana budi ku sing/
anhaaaa.!
[outro: fid q & rosa ree]
ole x4 chizza x4
ole x4 chizza x4
ole x4 chizza x4
ole x4 chizza x4
wanene
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu 0hhtec musician › lirik lagu mattfatt – 0hhtec musician
- kumpulan lirik lagu magister templi › lirik lagu vitriol – magister templi
- kumpulan lirik lagu cosmic way › lirik lagu black hole – cosmic way
- kumpulan lirik lagu marche funebre › lirik lagu the eye of the end – marche funèbre
- kumpulan lirik lagu steel phantoms › lirik lagu curtain call – steel phantoms
- kumpulan lirik lagu qwabe twins › lirik lagu laba bantu – qwabe twins
- kumpulan lirik lagu bakhaw › lirik lagu vida loca – bakhaw
- kumpulan lirik lagu of mice men › lirik lagu broken generation (live) – of mice & men
- kumpulan lirik lagu lunar shadow › lirik lagu catch fire – lunar shadow
- kumpulan lirik lagu pharaоh › lirik lagu темнота – pharaоh