lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu temanoleji – fid q

Loading...

[intro]
uh*huh
huh

[verse 1: fid q]
na mistari mingi
zaidi ya wake za mswati
suk*ma emcees kama kete kwa draft
tupo sambamba kama meno na mswaki
sio fala, sio mjanja sana
ha
zungumza trash kuhusu fid
wee, nitakuacha (?) au nita*smash your head
flatter than a compact disc
nilicho wish kwenye last new year’s eve
nikufanya hits na sio beef na emcee ambae yuko whack juu ya beat
(?) na fid
we bring the power back to the streets
kama s*to the*o* (?)
na swagger ka (?)
(?) staa wa magenge kama (?)
unampa joseph kony, primo
funika ‘mashimo ya bongo kama janguo na limo
gumzo ka mjaluo kwenye white house limo
(?) kama (?)
au machel na frelimo
kubali au ukatae kwenye wabishi wa jiji, nimo
nipo sweet kwa kunitazama tu
unaweza muona dentist
na moyo wa osama, level zaidi ya nane ‘kempiski
simba kala mtu ni habari
lakini mtu kala simba ni habari ya kusisimua, unajua?
[chorus]
hii sio commercial, hard*core
hii ipo kati kati yake
hii ni special kwa show, na kwa redio ndio mahali pake
na wa еdu*tain (edu*tain)
ndani ya hip*hop college
again and again
n*z*di kutemanolеji
hii sio commercial, hard*core
hii ipo kati kati yake
hii ni special kwa show, na kwa redio ndio mahali pake
na wa edu*tain (edu*tain)
ndani ya hip*hop college
again and again
n*z*di kutemanoleji

[verse 2]
wanasema nna roho ya nyerere, ‘nikifa nitaacha nchi iliyo shamiri nishati, madini, mafisadi wa urithi
kuwa chafua wale wasafi, wao wapate ulaji
iwe kwa nguvu ya pesa, cheo, kisiasa [?]
99 problems but a b*tch ain’t one
hisia haziji bila drugs au hata drinks kichwani
my conscious works so hard that it needs a vacation
ili unichonge kisha nilie ka penseli
upeo unawazibua viziwi, na kuyafunga masikio ya wajinga
ambao, ‘kwao si thaminiwi eti kwa kuwa sijui kuringa
na hapo ndipo wazee wa protocol
street hawahemi, mie ni mgumu even photoshop ‘couldn’t change me
sauti yangu ni ya kizazi cha kale na kilichopo
usiishi kwa machale, ka usiku na askari wa [coco]
usimuamini mtu kwa k*mjua au kutomjua
na sana lisilo nichanganya nilile nisilo litambua
[chorus]
hii sio commercial, hard*core
hii ipo kati kati yake
hii ni special kwa show, na kwa redio ndio mahali pake
na wa edu*tain (edu*tain)
ndani ya hip*hop college
again and again
n*z*di kutemanoleji
hii sio commercial, hard*core
hii ipo kati kati yake
hii ni special kwa show, na kwa redio ndio mahali pake
na wa edu*tain (edu*tain)
ndani ya hip*hop college
again and again
n*z*di kutemanoleji

[verse 3]
where do you go?
when you’ve gone too far
mjuaji ndio ana mengi ya kujifunza haswa
[?] aliye tubu dhidi ya mtakatifu bandia
kuamini mungu inasaidia, kama unajiamini pia
(sana tu)
lazima uwe na nywele kama unataka kunyoa
ukiwa mjita kama dayna [?] huwezi niboa
sio kila posa huleta [dough]
[?] akiwa na pesa ndio uko poa
hakuna santa claus ‘mweusi
dandia hii safina ya noah
kingine, ‘najua vingi ndio maana siongei sana
nachukiwa na wengi lakini na heshimiwa na wote bwana
(sawa)
[?] man alisema nachana sana
nikiskiza hip*hop ya bongo, si gain ‘na lose vitu
ma emcee wote waongo na wananiudhi kila siku
mistari yao, ‘ni kama mfano ya kile kisichofaa kuandikwa
sauti yao, ‘sio za michano walipaswa wajiunge misifa’s
napenda ushindi kama pool table
sitoi draw, ‘hii sio commercial au hard*core
[chorus]
hii sio commercial, hard*core
hii ipo kati kati yake
hii ni special kwa show, na kwa redio ndio mahali pake
na wa edu*tain (edu*tain)
ndani ya hip*hop college
again and again
n*z*di kutemanoleji
hii sio commercial, hard*core
hii ipo kati kati yake
hii ni special kwa show, na kwa redio ndio mahali pake
na wa edu*tain (edu*tain)
ndani ya hip*hop college
again and again
n*z*di kutemanoleji

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...