lirik lagu naogopa – gosby
artist: gosby feat. ommy dimpoz
song: naogopa
lyrics: gosby and ommy dimpoz
produced: nah reel
intro
gosby, swaghili, na na nahreel
ngw-ngwaliza ngwingwolola x 2
ila sina noma mie, ila sina noma mieeeeeh
yebaaaaaaa
chorus – ommy dimpoz
nampenda penda ndo mana an-z-ngua
siwezi muacha nataka niko naye
anaringa ringa na mahaba anayajua
kama pacha nataka niwe naye { ndo mana}
ogopa mi naogopa kukuacha mi naogopa
ogopa mi naogopa ndo mana niko naye
ogopa mi naogopa kukuacha mi naogopa
ogopa mi naogopa ndo mana niko naye
verse 1 – gosby
hivi we kwanini unataka vitu vingi hata nikisema no bado vitu vingi/
you want some more yani vitu vingi mapenzi gani haya yani full vitimbi/
unanipeleka peleka ushanifanya mi pimbi/
i wanna buy shoes do you have some money/
i wanna buy clothes do you have some money/
hivi we unadhani mi nafanya kazi gani/
nikifoka unacheka/ nikisepa unadeka/
nakukuacha sitoweza sijui kwa chupa ushaniweka/
nikifoka unacheka/ nikisepa unadeka/
nakukuacha sitoweza sijui kwa chupa ushaniweka/
chorus – ommy dimpoz
nampenda penda ndo mana an-z-ngua
siwezi muacha nataka niko naye
anaringa ringa na mahaba anayajua
kama pacha nataka niwe naye { ndo mana}
ogopa mi naogopa kukuacha mi naogopa
ogopa mi naogopa ndo mana niko naye
ogopa mi naogopa kukuacha mi naogopa
ogopa mi naogopa ndo mana niko naye
verse 2- gosby
huh why you do that to me/
tell me somethin’
why you do that to me/
we unaenda na simu bafuni/
nakuambia kesho mi narudi saa k-mi/
nasikia unamabwana ka k-mi/
eti umesikia mi natoka na umi/
hujanipa tunda huu mwezi wa k-mi/
nilivyokua fala nakupenda tu mi/
kama twitter nakufollow/
hujaridhika na mi we mi hollo/
unaona kwako mi niko dollo/
nikiomba chezo hah tomorrow/
huh kama twitter nakufollow/
hujaridhika na mi we mi hollo/
unaona kwako mi niko dollo/
nikiomba chezo tomorrow huh/
chorus
nampenda penda ndo mana an-z-ngua
siwezi muacha nataka niko nae
anaringa ringa na mahaba anayajua
kama pacha nataka niwe nae { ndo mana}
ogopa mi naogopa kukuacha mi naogopa
ogopa mi naogopa ndo mana niko naye
ogopa mi naogopa kukuacha mi naogopa
ogopa mi naogopa ndo mana niko naye
bridge- ommy dimpoz
i do i do it for you coz u ur my boo
i do for you heeeh
i do i do it for you coz ur my boo
chorus
ogopa mi naogopa kukuacha mi naogopa
ogopa mi naogopa ndo mana niko naye
ogopa mi naogopa kukuacha mi naogopa
ogopa mi naogopa ndo mana niko naye
outro – gosby
nikifoka unacheka/ nikisepa unadeka/
nakukuacha sitoweza sijui kwa chupa ushaniweka/
nikifoka unacheka/ nikisepa unadeka/
nakukuacha sitoweza sijui kwa chupa ushaniweka/
ila sina noma mie
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu marie dahlstrom › lirik lagu maybe, one day – marie dahlstrøm
- kumpulan lirik lagu jonah matranga › lirik lagu i want you back – jonah matranga
- kumpulan lirik lagu anne feeney › lirik lagu war on the workers – anne feeney
- kumpulan lirik lagu miirtek › lirik lagu yoga – miirtek
- kumpulan lirik lagu fabolous jadakiss › lirik lagu talk about it – fabolous & jadakiss
- kumpulan lirik lagu sofia karlberg › lirik lagu wolves – sofia karlberg
- kumpulan lirik lagu julia gomes › lirik lagu me chama pra dançar – julia gomes
- kumpulan lirik lagu pentagon › lirik lagu pretty boys (rap unit) – pentagon
- kumpulan lirik lagu jihan audy › lirik lagu selangkung rong langkung – jihan audy
- kumpulan lirik lagu refleksija › lirik lagu vēja balāde – refleksija