lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu nani nilimkosea – ison mistari

Loading...

intro:
macho bila ya moyo
hauwezi kuona unacho hisi /

hiyo ni mbaya kwa wenye choyo ambao wametekwa na ibilisi /

vess 1 :

nilitamani kua m binafsi
nikatekwa na ujamaa /
siku smile
hata nikiwa happy
ili w-ngapi wasijue nnafrah /

wanasafisha chozi kwa
maji /
hawa wazugaji /
watakupa usichotaka
zaidi ya unacho kihitaji /

wanacho amini hakipo sawa
kilicho sawa hakiaminiki /
unaeza kua na mbawa na
ukabebwa kama self stick /

skutamani ustar
nilijikuta nisha kua maarufu /
sk-muhitaji lufufu
wengi walitamani huu utukufu /
sasa nani anivike taji
upinzani upoteze nguvu /
kwa changamoto za hii sanaa ndio niache kama mzee yussufu /

eti atakae nitoa nimngoje
hadi atoke /
nae nisawa na kizibo cha soda tu
hadi kwa k-mzibua ndio
afoke /

alie tamani uwepo w-ngu
anafrahia kunipoteza /
adui anagwaya
anahisi noma kuni pongeza /
anaujutia wakati
wana alie shindwa
kujiongeza /
je huyu kinda ” mama yukowapi ??”
mwewe ata m beba ku mtembeza /

ninapo itema hii baridi
wanajikunja kama korosho /
walisha mponda
hata fareed (fid q)
eti ni mc gani michosho /
sishangai kwa hizi chuki
wanazoleta kama mkopo /
zita waacha wabaki juu
wakiwa vichwa chini tu
kama popo /

ningezaliwa juu ya barafu
mngeniweka kwenye freezer /
ili niendelee kua mgumu
hata nikija kama squizer /
misjaishi kwenye povarty
kiasi cha kupitiliza /
au kujisifia kasi
nikamsahau anae nikimbiza /

nina history ndefu kama
misry /
ajabu maneno yangu
karanga mc s yata wakohoza kama dhikri /

muogope huyu farasi
ambae anapitwa hadi na mjusi /
au jifunike gubi gubi
kama mwana alie chokoza
nyuki /
hakika povu haliwezi
safisha chuki /
dunia imejaa makovu
na watu ndio kaumu luti /

nisinge pewa upendo
ningenyimwa hata na imani /
siwezi kua yesu
hata nikimtukana shetani /

kibwagizo :

tunajifuza hisia
baada ya kuanza kutamani /
leo kila mpenzi
-n-lia wanauliza m baya ni nani / x2

___________________________
chor-ss
___________________________

vess 2 :

wamepandikiza ubinafsi
na gere ndani ya wabongo /
ili tusiwe na ushemeji
wakweli kama mani fongo / (zam ya nani leo )
na bado wakanibania mchongo /
eti wanigeuze goma
kama lile jimbo la kongo /

nikifa stoacha biff
nita waacha wenye biff zao /
nita waachia safina ya ujumbe mgawane mbao /
kile mlicho k-mbuka nyinyi
sicho nilicho kisahau /
na msihofie kushuka
mkiungama kwa madhabahu /

maisha ni ukuta
hutovushwa na washika daw /
wakikuchoka watakutupa
kisha wataendazao /

kwaio noma kuish redioni tu kama tangazo la kifo /
halafu niitwe chipukizi
wakati tangu zamani nipo /
ninapo amka hakika
nilitoka katika kifo /
mbona nalala na furah
nahakuna masikitiko ? /

nyi mlifaa mnipe sapot
zaidi ya chidi benz chuma /
niwe na speed zaidi ya bolt kias cha k-mkimbiza duma /

wadau wametugeuza mtaji
kama bar mad na glas ya bear /
wanasiasa hawa tuhitaji
zaidi ya wanapo hutubia /
ndani ya joho la alhaji
kuna mengi uliyo sikia /
yupowapi incharge
au yule anaechuna ukimsalimia ?

wananiua kama goriati
na daudi hatupwi jela /
kisa nna ugojwa wa mtaji
ambao hautibiki mwaisela /
maana siishi kwa collabo tu
kama cristian bella /
wanashauri eti nikapange foleni kwa said fella ! /

kisha wanifute kama
omiseta ili “thabit” asizaliwe /
mi huaga napiga hata asiehusika
gizani nikitupa jiwe /

sikuzaliwa mweusi
ilinije nilete gere /
ni uawe kama mw-ngosi
au wafuasi wa kibwetere /

hai make senc
inauma hadi inaboa /
kile wanacho hitaji wao
ni zaidi ya wanacho toa /
mengi watakosoa
wata kugeuza kaka poa /
kisha wata kuahidi talaka
na haupo katika ndoa /

kibwagizo :

tunapotea baada ya kupoteza imani /
leo bubu anataka kuongea na huyu alie mtusi zamani / x2

___________________________
chor-ss
___________________________

outro :

tunaish kwa itikadi
na ndio maana hatubadiliki /
hatutafuti pesa
tunakesha kutafuta kiki /

nani nilimkosea ??
nikiuliza wanakaa kimya /
kinafiki wananichekea
wakiwa meno nnje tu
kama kima /

wananiingelea mengi
kiundani hawanijui /
kwa mbele kama kondoo
nyuma wana makucha
kama chui /

hao ndio marafiki wa leo
nani nili mkosea ???

dah !

mtanik-mbuka sana
siku nikiondoka
kwenye mgongo wa dunia
nahata nikifaleo
hakuna hata mmoja atakae bakia

yah

haya ni maishatu
naitwa ison
dj walid

cheusidawa

the end

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...