lirik lagu nimeangukia (ago gi rungu) – jomonotics stmic
-intro-
ooh yeah
nhh (nhh)
-hook-
maisha nzuri ndio ile me nataka
maisha mbaya ndio ile sikutakii wewe
nakuombea mungu upate unachotaka
hardwork ipay, bahati zije ufeel like
nimeangukia (ago gi rungu) ×2
nimeangukia mimi eiy (ago gi rungu) ×2
-verse 1-
respect to wheather yetu ya nairobi, mahali kuneza nyesha anytime (huh)
wamama ka wote wameshuka na budah simaanishi wamedrop (yeah)
na mimi nataka hiyo, but sina subira so siezi line up
walio juu wanashuka so leta ujinga upewe lesson
jifunze kuvaa, uwache kushinda ukiteta eti _kuna baridi_
us ni sisi but ukitaka tutatumia the other meaning (-ss)
success ziko, lakini mingi ni za wenye wanafanya mitihani shule
uko chini kama shoe lace
hauna njumu we ni shoeless
na kukinyesha niko safe
hata jua ikuje kali bado mimi niko safe
nauza cds, budah nunua yangu mixtape
all i want for you people ni pia nyinyi muwe safe
-hook-
maisha nzuri ndio ile me nataka
maisha mbaya ndio ile sikutakii wewe
nakuombea mungu upate unachotaka
hardwork ipay, bahati zije ufeel like
nimeangukia (ago gi rungu) ×2
nimeangukia mimi eiy (ago gi rungu) ×2
-verse 2-
nishazaliwa, that’s why lazima niishi maisha kivyangu
life ni tamu bora uko determined na uwe na focus
jipee shughuli, shughuli muhimu, na usiwahi jishuku humu
mwaga jasho ka ni k-mwaga juu hiyo mshahara itadumu
na ukiona kuna kitu hujui, enda uliza niaje?
na kama kuna kitu unajua, usifiche chanuana
maisha ni yako sio yangu, me nina yangu yenye nabuild
focus on vitu muhimu na za kijinga zote lenga huh!
-hook-
maisha nzuri ndio ile me nataka
maisha mbaya ndio ile sikutakii wewe
nakuombea mungu upate unachotaka
hardwork ipay, bahati zije ufeel like
nimeangukia (ago gi rungu) ×2
nimeangukia mimi eiy (ago gi rungu) ×2
maisha nzuri ndio ile me nataka (it’s -jomonotics- )
maisha mbaya ndio ile sikutakii wewe
nakuombea mungu upate unachotaka (stmic)
…taka
maisha mbaya ndio ile sikutakii wewe
nakuombea mungu upate unachotaka
oh yeah oh yeah
(it’s jomo, it’s jomonotics)
maisha nzuri ndio ile me nataka
maisha mbaya ndio ile sikutakii wewe
nakuombea mungu upate unachotaka
hardwork ipay, bahati zije ufeel like
ooh yeah
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu robert ray › lirik lagu dream of you – robert ray
- kumpulan lirik lagu deys › lirik lagu wyglądy – deys
- kumpulan lirik lagu rob c › lirik lagu respect overdue (prod. sound shikari) – rob c
- kumpulan lirik lagu kevcody › lirik lagu pakurumo – kevcody
- kumpulan lirik lagu percival schuttenbach › lirik lagu sokol mi leta visoko – percival schuttenbach
- kumpulan lirik lagu lacraps › lirik lagu la loi des séries – lacraps
- kumpulan lirik lagu kylie minogue › lirik lagu wonderful christmastime (with mika) – kylie minogue
- kumpulan lirik lagu jjx › lirik lagu climb – jjx
- kumpulan lirik lagu da illest › lirik lagu get this money – da illest
- kumpulan lirik lagu nina y sebastian › lirik lagu imposible – nina y sebastian