lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu brightdays – judaking

Loading...

[verse 1]
ka hauna fom kwa biz ya mine uta pole nose
nacheki tu manabii wana flows boss
nilizaliwa yo kurap sona drop b-ss
rap si easy yo kublow ni job
but na push g juu kublow niko na hope
wana dai mi ni mchafu so na omba soap opera
gee na pata opera kwa mini
temptation but heart iko na hip hip
siezi tuliz na demand share yangu jo
chase paper talk biz huezi mess na mi
siezi flow coin na flow noti
lazima grind
huezi make bila grind

[chorus]
{naona brightdays (naona)2
naona black naona white naona red
naona green
naona love iki kam
naona tuki rep africa.,,..}x2

[verse 2]
toka brooklyn kalamashaka wali bring home
h.i.p h.o.p juda be the don
na spit mili after mili no chrome
dome ya making k-me chrome ma queen
kila msee ni king sasa wana tafuta foam
hawa amini hii najiamini gee
hii si fywhy ni do na dai
wana fake yo na keep it real walai
nataka keja nandai so nahussle ni buy
jana nihistry but dream ina live on
grind more na naspit more
life ni short yolo ndio anthem

[chorus]
{naona brightdays (naona)2
naona black naona white naona red
naona green
naona love iki kam
naona tuki rep africa.,,..}x2

[verse 3]
cheki rats zina race jupaka imebleki
kizuri cha jiuza kibaya kina stress
wana pay attention na bado tumesota
niko lyrically sick mi huishi icu
eyes on the price yo but still i see you
me na grow yo na hazi flow k!ll
na saka g yo after hii nilipe bill
naskia street zina yap hawa making wana yap
solo man no click na do mi na na kam
shoutout juda fam daily grind tuna kam
flow sleek we dem boys
rep ghetto boy
l7 empire juu ya hii boy

[chorus]
{naona brightdays (naona)2
naona black naona white naona red
naona green
naona love iki kam
naona tuki rep africa.,,..}x2

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...