
chawa - k son rap lyrics
hayupo seriously muda wote msheshi.. mzushi mkushi..mzee wakitonga kazi kuu kusifia mabosi ni mtambo kama jo’s.. anaconnection ya kila pisi..hapa mjini naingia kila office,an*z*jua promo k*mzidi mandonga mtu kazi..kwa mdomo tu anajaza mtu shazi..ni chawa promax anasifa zaidi ya dully sykes..hachezei bahati man x..pembeni ya tajiri tag ubavu napiga tu madili..anapewa tu mashavu..mtu mzima haoni noma anatumwa kama mtoto anapewa tu makavu..tajiri hanuniwi huyu chawa anatukanwa lakini anajifanya nikiziwi..mbele ya tajiri chawa hana say..tajiri hakosei chawa amelipiwa kodi amepewa na usafiri na tajiri..ningekuwa shekh yahaya ningetabiri..chawa amejitoa sana akili..anataka kulipiwa kila bill..anatunza siri zote za tajiri zisitoke..chawa alikuwa mtu wa dini ila sasa anaishi kikafiri..sikuzote nik*mpamba tu tajiri..chawa hawezi kuchachawa tajiri akifulia chawa anapagawa..
Random Song Lyrics :
- touchdown in changi - nks (nz) lyrics
- l.a. breakdown - helen reddy lyrics
- de nike no pé - chavão888 lyrics
- evil twinz - kenzo balla x tg crippy lyrics
- i can’t believe i’m going through this again - eunhae lyrics
- dear moon - coat rack lyrics
- amsterdam - krvne lyrics
- lemala - למעלה - liron angel - לירון אנג'ל lyrics
- g whip - baseman lyrics
- walk thru - black emigo lyrics