lirik lagu moyo – kapaso bkp
[intro]
ah, chunchuu eeeh
shiiii beberuuuu
we ngoja nimwambie nisikilize
hakuna mkate mgumu mbele ya chai
hamuoni skuizi mwenzenu niko bize
hata vijiweni maskani mi skai
we ngoja nimwambie nisikilize
hakuna mkate mgumu mbele ya chai
hamuoni skuizi mwenzenu niko bize
hata vijiweni maskani mi skai
[chorus]
we jamani moyo moyo moyo rudi tena shule
we mana upumbavu wako moyo w*ngu utaniuwa bure
oooh jamani moyo moyo moyo rudi tena shule
we maana upumbavu wako moyo w*ngu utaniuwa bure
[verse 2]
eti ndugu una mpenzi au mpenzi wako mtazamaji
una mchumba au ndo ivo umebaki na sebule
una mpenzi siku nzima simu ameweka chaji
una mchumba hakucheki mpaka umcheki wewe
fadhili ona mapenzi mama nyoko
yanafanya nadeka kama mtoto
k*muacha siwezi changamoto
nakula vya utandu mpaka makoko
siwezi kuchunguliwa na mtu mwengine
yeye nishamzoea
mnayosema nimerogwa mi nakuabali mana najionea
[chorus]
we jamani moyo moyo moyo rudi tena shule
we mana upumbavu wako moyo w*ngu utaniuwa bure
oooh jamani moyo moyo moyo rudi tena shule
we mana upumbavu wako moyo w*ngu utaniuwa bure
[verse]
aya twende mbengele mbengele mbangala mbangala
mbangala pwata pwata mima mtamu kashavulugwa kajizima data
mbengele mbengele mbangala mbangala
mbangala pwata pwata we gigi kashavulugwa kajizima data
mbengele mbengele mbangala mbangala
mbangala pwata pwata mchawi jambo wemevulugwa wamejizima data
mbengele mbengele mbangala mbangala
mbangala pwata pwata madada mama kala hasara wamevulugwa wamejizima data
aya ona juu ya meza yupo,kwa dj yupo
kwa weita yupo ,kwa camera man yupo
ukienda mik*mi yupo ,kwa kapaka yupo
na masaki yupo ,mpaka uswahilini yupo
[verse]
ivi ushawahi k*muona mende
ndo kaganda kwenye ukuta wewe
we kitumbua ukirambe utacharuka wewe
maajabu ya chura tope kapagawa wewe
yani aifinyie kwa ndani utapagawa wewe
[hook]
fadhili ona mapenzi mama nyoko
yanafanya nadeka kama mtoto
k*muacha siwezi changamoto
nakula vya utandu mpaka makoko
[outro]
ooooohooooo shiii beberuu
kapaso hapa g*nius from tanzania
aah wanang wa bkp brand we don mendez kaiza raden
wanakusalimia wakali wa road we chazi boy
mtu kama chajero anakusalimia side p paulo
we jafari wa uswazi aiii mitoto ya kwa dumba
bamkwe we the don anakusalimia big boss ras
we kev touchez aiii mamaaa
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu the louk › lirik lagu sigo siendo el mismo – the louk
- kumpulan lirik lagu moe bandy › lirik lagu someday soon – moe bandy
- kumpulan lirik lagu neek bucks › lirik lagu too much – neek bucks
- kumpulan lirik lagu the mills brothers › lirik lagu say ‘si si’ – the mills brothers
- kumpulan lirik lagu kate havnevik › lirik lagu show me love (petter haavik mix) – kate havnevik
- kumpulan lirik lagu culture power45 › lirik lagu pennies in the pocket – culture power45
- kumpulan lirik lagu drassenator › lirik lagu flocky season effect – drassenator
- kumpulan lirik lagu lewxs › lirik lagu ain’t goin’ down – lewxs
- kumpulan lirik lagu nautilus pompilius › lirik lagu христос (hristos) – nautilus pompilius
- kumpulan lirik lagu forfun › lirik lagu o viajante (supershiva mix) – forfun