
damu ya salaam - khadja nin lyrics
tangu iraki mpaka amerika
wako karibu yakufunga vita
mi mama mzazi nauliza
ni nani ata linda watoto wetu
bwana hussein anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mimi huyu nakosa njiya
yakusikika kwa wakubwa
kwa hakika tulijioneya
vita ya kwanza ilizala fitina
bwana hussein anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
nakata matumaini
ju kwa vile naona
wakubwa hawajali macozi ya
mutu mudogo -n-liya wake
siraha ya amani ilikuta kwake
mr.clinton anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mr.clinton anasema:
“nataka salaam”
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mw-ngiwa
ni ya wadogo na watoto tu
Random Song Lyrics :
- juciy lays - спокойный (spokoyniy) lyrics
- rules for rebellion - something and the whatevers lyrics
- lost in paris - psyched lyrics
- egotistic (japanese ver.) - mamamoo lyrics
- yo go - yung booke lyrics
- here's to life (live) - latrice royale lyrics
- moving on - turboweekend lyrics
- pineapple express - d goody lyrics
- ni idea - miguel botilla lyrics
- blues brothers - chris king lyrics